Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Sasa swali wapi utatangazwa bure? wakati Rwanda wamelipa mamilion kwa Arsnal kuna watu humu wanatushinda kwenye matangazo sisi tunawalipa tu hawa bongo movie nani anawajuwa sasa watu wameenda Burj Khaleefa ohh pesa nyingi alfu 67 kuna wakati hata hujui nchi hii wanataka nini. Matangazo ni gharama bwana nenda tu hapo katangaze kwenye Radio ndio utajuwa hakuna bure.
hata kama sio unaweka bendera tu, bora hata hao PSG na Arsenal visit Rwanda ina make sense mtu akisoma anatamani agoogle, sasa hizo rangi nne mtu atajua kama ni bendera ya TZ wakati kuna raia huko ulaya washaulizwa unaijua Tanzania wakadai hata hawaijui

tuwe serious bhana
 
Acha ujinga kijana, mnataka maendeleo ila kuumia hamtaki.

Hilo ni tangazo la muhimu kama ya nchi nyingine tu.

USIJE NIITA CCM, SIJAWAHI IPENDA CCM TOKA NIZALIWE lakini tusiwe wajinga wa kubisha tu hata jambo lenye manufaa kwa taifa kama hilo.

Tangazo Lina maana kubwa but not bendera bwana,

Ww umeelewa nn hapo? Inchi gani nyingine inatangaza utalii Kwa kuweka bendera kwa namna hiyo?
 
hata kama sio unaweka bendera tu, bora hata hao PSG na Arsenal visit Rwanda ina make sense mtu akisoma anatamani agoogle, sasa hizo rangi nne mtu atajua kama ni bendera ya TZ wakati kuna raia huko ulaya washaulizwa unaijua Tanzania wakadai hata hawaijui

tuwe serious bhana
Kama mtu anaulizwa haijui Tanzania,huo ni kilaza.Nchi iko kwenye ramani,halafu anasema haijui,huyo ni kilaza.
 
Acha ujinga kijana, mnataka maendeleo ila kuumia hamtaki.

Hilo ni tangazo la muhimu kama ya nchi nyingine tu.

USIJE NIITA CCM, SIJAWAHI IPENDA CCM TOKA NIZALIWE lakini tusiwe wajinga wa kubisha tu hata jambo lenye manufaa kwa taifa kama hilo.

Wewe una hamaki bure! Kwa kutumia akili ya kawaida tu, hivi wewe ungeona bendera ya nchi yoyote nyingine iko kwenye display pale kwa dakika tatu, response yako ingekuwa nini?

Kwa maoni yangu, that meant almost nothing. Bendera haiamshi meaningful curiosity yoyote. Kingekuwa kivutio cha utalii kama vile Mt. Kilimanjaro au mbuga zetu za wanyama, impact kwa viewers ingekuwa kubwa. Hakuna mtalii au investor anayeweza kuhamasika kwa kuona bendera fulani. In fact, hata kupata mtu mwenye interest ya kutaka kujua hiyo bendera ni ya nchi gani itakuwa bahati kubwa!
 
Nilijua utasema hivyo. Lione kwanza; unajifanya unajua Kiingereza kuliko waingereza wenyewe waliochapisha kitabu. Ha ha ha unakuwa kama wakenya?

Ayi Kwei ni Mwingereza.! Hebu ficha hii aibu, vilaza ni wengi mno usidhani uko peke yako.
 
Wewe jamaa nawe uwe unajibu maswali kwa logic basi.

Unatuaibisha hatari humu JF.

Wewe unazani kuseti hiyo mitambo ni bure?. Sabasaba tu hapo unalipia sembuse na hiyo mitambo?.

Afu bora wanetangaza utalii na utamaduni, na uwekezaji?.. Wao wanatangaza bendera.

Khaaaaa
Kun watu hata hawajui kuwa hiyo ni bendera ya Tamnzania bali wanaona rangi tu, ambazo baada ya dakika tatu zinyeyuka, huku dinari zetu 250,000 zimekwenda.
 
ndani ya siku moja,wameongezeka watalii 10,000 halafu unasema haina faida. .acha ujinga
 
watu wote kwenye maonesho wameiona hiyo bendera
kwani kuona bendera ya Tanzania kunasaidia nini. Siyo kila mtu aliyeona bendera hiyo anajua kuwa ni ya Tanzania, je wewe ukuiona bendera hii kwa mara ya kwanza kwa dakika tatu utajua ni ya nchi gani?

1646172917921.png
 
Umelipa wewe,

Unajua faida ya kilichofanyika hapo au ndio "Join the Chain "🤣🤣🤣

Nikusaidie tu, Tanzania haijatoa hata Mia,

#HAKUNA KAMA SAMIA
Mpaka kesho ..nakataaaa mfumo wa elimu uliopo afrika na ulaya... Ni tofauti ... Mwaka 1986 (nazaliwa) mama yangu pamoja na Dr.Lyakurwa (mkufunzi wa SauT) walikuwa wanafunzi Urusi mama akisoma economc fani ambayo NAMI mimesoma... Mwaka 1994 tukahamia Manchester University ... nikiwa darasa la 4 kutoka Peramiho shirika la Wabenedictini mwaka 2009 akanifundisha .. Tena SAUT degree ya kwanza na 2013 akanifundisha Masters ya arts of economics kama Kuna wataalamu wa mitandao watakua wamejua Mimi ni nani... Na Sasa nafanya doctorate ya uchumi... ..
 
Mpaka kesho ..nakataaaa mfumo wa elimu uliopo afrika na ulaya... Ni tofauti ... Mwaka 1986 (nazaliwa) mama yangu pamoja na Dr.Lyakurwa (mkufunzi wa SauT) walikuwa wanafunzi Urusi mama akisoma economc fani ambayo NAMI mimesoma... Mwaka 1994 tukahamia Manchester University ... nikiwa darasa la 4 kutoka Peramiho shirika la Wabenedictini mwaka 2009 akanifundisha .. Tena SAUT degree ya kwanza na 2013 akanifundisha Masters ya arts of economics kama Kuna wataalamu wa mitandao watakua wamejua Mimi ni nani... Na Sasa nafanya doctorate ya uchumi... ..
Iyo elimu yako haina faida yoyote kwa Taifa, bora ungeishia la saba tu
 
Iyo elimu yako haina faida yoyote kwa Taifa, bora ungeishia la saba tu
Kuna mwenzako alifaya Hilo ufanyalo ..nkamjibu .."Fuatilia siku ya Ushirika Dunia na miundo ya masoko kipindi Cha Profesa Mkenda !!?? Hiyo Moja ,Mbili Ngazi za ugatuaji wa madaraka ... Enheee umeona Muuondo mpya wa Serikali za mitaa !!?? Karibu .... Katika kipande hii kunywa maji ..hauna kitu unajua....
 
Mpaka kesho ..nakataaaa mfumo wa elimu uliopo afrika na ulaya... Ni tofauti ... Mwaka 1986 (nazaliwa) mama yangu pamoja na Dr.Lyakurwa (mkufunzi wa SauT) walikuwa wanafunzi Urusi mama akisoma economc fani ambayo NAMI mimesoma... Mwaka 1994 tukahamia Manchester University ... nikiwa darasa la 4 kutoka Peramiho shirika la Wabenedictini mwaka 2009 akanifundisha .. Tena SAUT degree ya kwanza na 2013 akanifundisha Masters ya arts of economics kama Kuna wataalamu wa mitandao watakua wamejua Mimi ni nani... Na Sasa nafanya doctorate ya uchumi... ..
Ulipokosea kutaja jina la Dr Lyakurwa ungenyoosha kusema baba ako Mana kumbukumbu zangu zinaonesha

Robert Mugabe alimzimisha kwa kauli moja waziri mkuu mstaafu wa nchi moja baran ulaya Kama sio kutokea the great Britain kwamba chunga domo lako mie baba ako nimesoma na mama ako ilekauli ilimgusa mpaka anakufa mgabe waziri husika hajawahi sema lolote

Pili ukiwa Kama msomi eti wanaotumia mitandao wanakujua wewe ni nani hapo ndoumekosea zaidi ,Sasa Mimi nasema wewe nimtoto wa Dr Lyakurwa (muite babako) ,ukimuuliza mama ako vizuri anaweza kukwambia usiishie kumwita Dr pekeake
 
Back
Top Bottom