Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Nani amelipa Tsh Milioni 200 tangazo la Tanzania kwenye jengo la Burj Khalifa, Dubai?

Kugundua Wewe kwamba huna akili
Siwezi kukosa akili wakati serikali ilipoona nilichohoji imekimbilia kwenye media kunijibu. Mmeanza lini kujibu wasio na akili au mna Mawaziri wasio na akili wanaojibu wasio na akili?
 
Mnufaika Mkuu wa ufisadi serikalini huwezi kuwa na pointi ya maana zaidi ya kaahifa. Waathirika wa ufisadi ni Wananchi wazalendo wa nchi hii siyo nyie walaji msio na haya.
Tanzania pale Dubai kutangazwa hawajalipa hata mia nyie mapungauni ndiyo mnalazimisha kuwa wamelipa pesa wekeni ushahidi wa malipo.
 
Milioni 200 mbona kidogo kwa nchi yenye vivutio vya utalii duniai ambavyo inashika nafasi ya pili baada ya Brazil,sida yetu hatujitangazi kazi kulalamika watalii kidogo.
 
Nani alikudanganya na kukukaririsha tunashika nafasi ya pili baada ya Brazil kwa vivutio vingi vya utalii?!
Milioni 200 mbona kidogo kwa nchi yenye vivutio vya utalii duniai ambavyo inashika nafasi ya pili baada ya Brazil,sida yetu hatujitangazi kazi kulalamika watalii kidogo.
 
Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.

Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.

Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.

View attachment 2134765
Bandari imeenda kiutani
 
Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.

Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.

Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.

View attachment 2134765
Ulipo andika watu walikukejeli leo wanapanua midomo
 
Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.

Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.

Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.

View attachment 2134765
Utawala huu ndio itakuwa kwa mara ya kwanza mfalme kuondolewa kinga na kupandishwa kwenye mahakama za kiraia kwa makosa yasiyo dhaminika, just stay distant watching the conflicting sequel ahead.
 
Utawala huu ndio itakuwa kwa mara ya kwanza mfalme kuondolewa kinga na kupandishwa kwenye mahakama za kiraia kwa makosa yasiyo dhaminika, just stay distant watching the conflicting sequel ahead.
Unaota au,

Anyway, halipo lisilowezekana chini ya jua kwake Yeye aaminiye.

Wote tuseme, Aaaamin.
 
Mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burji Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya dola 67,000 hadi 87,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki Tshs. Milioni 157 hadi 200 hivi kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote la Burji Khalifa.

Fedha hii kwa nchi masikini kama hii bado ni kubwa na ingeweza kufanya jambo la maana. Jana Februari 28 jengo hilo limetangaza bendera ya Tanzania kwa dakika 3 na wenye Serikali yao wakatutangazia neema kwamba nasi tumeonekana Dubai.

Hebu tuzionee huruma fedha za walipa kodi wanaojikamua huku sisi viongozi tukiishi kwa anasa.

View attachment 2134765
Alietangazwa
 
Tanzania pale Dubai kutangazwa hawajalipa hata mia nyie mapungauni ndiyo mnalazimisha kuwa wamelipa pesa wekeni ushahidi wa malipo.
Kwamba tulipewa promo ya Bure?

Nijuavyo mm hata PUMZI Si ya Bure, Mungu ametulipia sababu sisi wanae.

Dubei Kuna nani etu atulipie?
 
Bendera ya kenya nimeiona usiku huu wa leo ikipepea jengo hilo
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    23.8 KB · Views: 2
Ulipo andika watu walikukejeli leo wanapanua midomo
Asante Kwa kumbukumbu yako nzuri Mkuu. Duniani Hakuna Mtu atakulipia chakula ule bure uondoke. Nilipoandika haya karibu mwaka Sasa watu walitoka vichochoroni na mjini na mapanga na kama wangekuwa wanafahamu ninapoishi nisingekuwa hai Leo. Lakini kiko wapi? Niliyosema ndiyo Watanzania wanaoipenda nchi yao wanayojitahidi kuyapigia kelele. Tungeona wengi Tangu mwanzo tusingefika hapa.
 
Back
Top Bottom