Nani amewapa TFS idhini ya Kujenga Makao Makuu yao Mwanza wakati Makao Makuu ya Nchi ni Dodoma?

Wakati makao makuu ya TANAPA yanajengwa Arusha mbona hakuandika huu utumbo wako??Acha double standard hii nchi ya watu wote hata wanakanda ya ziwa.Sasa inajengwa mwanza jinyonge.
 


Makao Makuu ya TACAIDS yako Mkoa gani
 
Mhuu hili nalo wazo na ni uamuzi ili wawafunze wasukuma kutokukata miti kufukuza mbung'o. Wasigeuze nchi nzima kuwa kama shinyanga.
 
Makao Makuu ya Mabenki yote yatakuwa DAR..mtalia sana wagogo
 
Ingetakiwa iwe Mpanda Katavi na chuo kiwehuko ...Mwanza ni Masamaki
 
Nataka nitofautiane na mawazo ya wengi,

Ni kweli utasikia kuwa makao makuu ya Mamlaka ya Bandari Tanzania nayo wanachagizwa wahamie Dodoma.

Makao makuu ya TRC Shirika la Reli yawe Tabora maana ni njia panda kuu ya reli n.k hii itafanya hata keki ya taifa iwe inagawanywa vizuri katika maeneo mbalimbali ya nchi na kupunguza msongamano kati jiji la Dar es Salaam au mji wa Dodoma hivyo miji hiyo kupangika vizuri kwa kutokuwa mikubwa mno hivuo mipango ya miji kuweza kutekelezwa vizuri.

 
Taasisi ni tofauti na wizara, Sasa issue ya Dodoma ni kupiga Hela tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…