Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
watu wa mionzi kwanini wapo arusha TAEC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duhMifumo imechoka ikitokea Kasi ya ukataji miti bila kupanda ikitokea iringa inabidi makao makuu ihamishiwe iringa Basi ihamishiwe kutoka kwenye majengo iwe kwenye gari iitwe mobile TFS
Ni kwa sababu Dodoma hakuna huduma za Massage na Scrub za maana mkuuNataka nitofautiane na mawazo ya wengi, kwangu haikuwa na maana hata kujenga makao makuu Dodoma niliwaza kwa sauti kama wanavyofanya wenzetu wa huko duniani kwamba huduma zisambazwwe kote nchini, huwezi kuwa na Wizara ya Kilimo makao yake makuu yakae sehemu ambayo hawalimi, mtazamo wangu Maliasili na Utalii ingekua kule Arusha kama ilivyo TANAPA hao wa mamiti na misitu wangekaa hata Iringa ama Sumbawanga, watu wa Kilimo wangekaa mikoa inayolima Mbeya, Iringa etc, wengine ambao hawana specific tasks wangekaa sehemu moja , hii inasaidia kusambaza huduma nchi nzima sio kukaa sehemu moja tu.Hata hao wanaojiita wamehamia Dodoma wako Dar siku zote wanafanyiwa Massage na Scrub ni usanii tu.
Ni kwa sababu Dodoma hakuna huduma za Massage na Scrub za maana mkuuNataka nitofautiane na mawazo ya wengi, kwangu haikuwa na maana hata kujenga makao makuu Dodoma niliwaza kwa sauti kama wanavyofanya wenzetu wa huko duniani kwamba huduma zisambazwwe kote nchini, huwezi kuwa na Wizara ya Kilimo makao yake makuu yakae sehemu ambayo hawalimi, mtazamo wangu Maliasili na Utalii ingekua kule Arusha kama ilivyo TANAPA hao wa mamiti na misitu wangekaa hata Iringa ama Sumbawanga, watu wa Kilimo wangekaa mikoa inayolima Mbeya, Iringa etc, wengine ambao hawana specific tasks wangekaa sehemu moja , hii inasaidia kusambaza huduma nchi nzima sio kukaa sehemu moja tu.Hata hao wanaojiita wamehamia Dodoma wako Dar siku zote wanafanyiwa Massage na Scrub ni usanii tu.
Ni kwa sababu Dodoma hakuna huduma za Massage na Scrub za maana mkuuNataka nitofautiane na mawazo ya wengi, kwangu haikuwa na maana hata kujenga makao makuu Dodoma niliwaza kwa sauti kama wanavyofanya wenzetu wa huko duniani kwamba huduma zisambazwwe kote nchini, huwezi kuwa na Wizara ya Kilimo makao yake makuu yakae sehemu ambayo hawalimi, mtazamo wangu Maliasili na Utalii ingekua kule Arusha kama ilivyo TANAPA hao wa mamiti na misitu wangekaa hata Iringa ama Sumbawanga, watu wa Kilimo wangekaa mikoa inayolima Mbeya, Iringa etc, wengine ambao hawana specific tasks wangekaa sehemu moja , hii inasaidia kusambaza huduma nchi nzima sio kukaa sehemu moja tu.Hata hao wanaojiita wamehamia Dodoma wako Dar siku zote wanafanyiwa Massage na Scrub ni usanii tu.
Hata Kwa sasa Tunasafiri kuwafauata Daslamu .... Zamu yao kuja kula michembe mwanza....😁😁😁😁Hahahahah kwahio mtu akiwa na kesi na hao jamaa asafiri siku 2 kufuata ofisi zao zilipo huko. UJINGA!!!
Kwahio mbwa kala mbwa au sio 😂😂😂Hata Kwa sasa Tunasafiri kuwafauata Daslamu .... Zamu yao kuja kula michembe mwanza....😁😁😁😁
Hivi JWTZ nao weshahamia idodomya...!!??Ondoa utaahira wako hapa..Unaelewa maana ya Makao Makuu ya Nchi?
Tutabadirisha jina hatutakuwa Kanda ya ziwa tena ...tukuwa tunaitwa Kanda Maalum ya Misitu labda litampoza maumivu ya kichwa asikiapo Kanda ya ziwa.Wewe mtoa hoja una tatizo gani na Mwanza na Kanda ya Ziwa?
Weka Tabora pale paaaaaa....... Hivyo tu Kwa Nini mkazie ARUSHA na Kilimanjaro!!?? Weka Singida Hapo au Ruvuma kabisa tuteseke.Kwanza nafikiri tulichelewa sana. Tungeweza kusambaza hizi makao makuu ya taasisi kwenye kwenye maeneo ya mkakati nafikiri ingesaidia sana kusaidia kutatua matatizo.
Mfano wizara ya utalii nategemea makao makuu yake yangekua kilimanjaro au arusha ingemsaada kuliko kua dodoma.
MAAMUZI ya nani JIWE au Chifu Hangaya!!??Leo nakuunga mkono. Yatakuwa majaribu makubwa kwa maamuzi ya baraza la mawaziri. Hakuna sababu concrete ya TFS kujenga makao makuu Mwanza.
Hata taasisi zingine ambazo bado hazijahamshia makao makuu(HQs) Dodoma naona ni dharau kwa mamlaka ya juu ya nchi. Kama hao CEOs hawataki kuheshimu maamuzi ya juu ya nchi, basi waachie ngazi ili waendelee kubaki DSM.
Mkapange sasa humo walimoacha😁😁😁Pamoja na yote, uhamiaji Dodoma umekighalimu taifa kifedha, maana kuna taasisi zilikuwa na majengo tayari ila wakalazimishwa kuhama, yale majengo yao hayana kitu
Kenge ww ..sijui unachuki na mwanza km kuna mtu alikufokoa kinyesi nenda kafanye nae bifu sio kumsema mtu alie kufa ...km angeendekeza ukanda si asingehimiza na kuhamisha serikali dodoma toa upuuuzi wako kenge ww na km una chuki na wasukuma ww pimbi mmoja fala sana wwKwa kupitia huu Uzi bila shaka wote tumeona jinsi jamii fulani ikijali ukabila na ukanda kuliko Maslahi ya Taifa.
Yule mtu hakutakiwa kabisa kuwa Rais wa Nchi yetu na kamwe tusije kurudia hili kosa..
Wanaotetea kuvunja sheria Kisa ubinafsi sasa sijui kila mtu akitaka kwao itakuaje.
Kama ni suala la kupambana na jangwa, mbona Dodoma napo panahitaji jitihada za karibu za kupanda miti kwa wingi kupambana na jangwa.Moja kwa moja kwenye mada,
Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.
Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?
Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?
Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?
Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..
Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.👇
View attachment 2302979
Hacha unafiki mbona Makao makuu ya TANAPA yako Arusha na hamkufungua hayo mamidomo yenu.Nchi ngumu hii, makao makuu ya taasisi ya serikali kuhamishiwa Mwanza?