Nani amewapa TFS idhini ya Kujenga Makao Makuu yao Mwanza wakati Makao Makuu ya Nchi ni Dodoma?

Nani amewapa TFS idhini ya Kujenga Makao Makuu yao Mwanza wakati Makao Makuu ya Nchi ni Dodoma?

Nataka nitofautiane na mawazo ya wengi, kwangu haikuwa na maana hata kujenga makao makuu Dodoma niliwaza kwa sauti kama wanavyofanya wenzetu wa huko duniani kwamba huduma zisambazwwe kote nchini, huwezi kuwa na Wizara ya Kilimo makao yake makuu yakae sehemu ambayo hawalimi, mtazamo wangu Maliasili na Utalii ingekua kule Arusha kama ilivyo TANAPA hao wa mamiti na misitu wangekaa hata Iringa ama Sumbawanga, watu wa Kilimo wangekaa mikoa inayolima Mbeya, Iringa etc, wengine ambao hawana specific tasks wangekaa sehemu moja , hii inasaidia kusambaza huduma nchi nzima sio kukaa sehemu moja tu.Hata hao wanaojiita wamehamia Dodoma wako Dar siku zote wanafanyiwa Massage na Scrub ni usanii tu.
Taasisi zikisambaa gharama za uendeshaji wa serikali huwa juu. Na urasimu pia hua mkali zaidi
 
Moja kwa moja kwenye mada,

Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.

Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?

Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?

Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?

Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..

Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.👇

View attachment 2302979
Leo nakuunga mkono. Yatakuwa majaribu makubwa kwa maamuzi ya baraza la mawaziri. Hakuna sababu concrete ya TFS kujenga makao makuu Mwanza.
Hata taasisi zingine ambazo bado hazijahamshia makao makuu(HQs) Dodoma naona ni dharau kwa mamlaka ya juu ya nchi. Kama hao CEOs hawataki kuheshimu maamuzi ya juu ya nchi, basi waachie ngazi ili waendelee kubaki DSM.
 
Usijitoe akili, hoja yako ni kwamba Taasisi zote za serikali zinatakiwa kuwa Dodoma, sasa nakuuliza tena tuipeleke TPA Dodoma?
With exceptional circumstances tuu.TFS ina sababu zipi za msingi kujengwa Mwanza Kwa sababu za kipuuzi hizo walizotoa?..
 
Ondoa utaahira wako hapa..Unaelewa maana ya Makao Makuu ya Nchi?
Weww ndio taahila.kengewe.kwa hiyo makao makuu ndiyo yazuie kujenga makao makuu huko mwanza?mawazo yenu mgando ambayo hayataki mabadiliko ndiyo yanayoifanya nchi ionekane inaongozwa na majingamajinga.
 
Weww ndio taahila.kengewe.kwa hiyo makao makuu ndiyo yazuie kujenga makao makuu huko mwanza?mawazo yenu mgando ambayo hayataki mabadiliko ndiyo yanayoifanya nchi ionekane inaongozwa na majingamajinga.
Unapingana na sheria na amri ya Rais?👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220725-133323.png
    Screenshot_20220725-133323.png
    107.2 KB · Views: 5
Moja kwa moja kwenye mada,

Site tunatambua kwamba Makao Makuu ya Nchi na Serikali ni Dodoma ambapo ndipo kunapaswa kujengwa Makao Makuu ya taasisi zote za Kiserikali ikiwemo Ikulu.

Kwamba toka Jobo Ndugai ametolewa kwenye kiti Dodoma imekosa msemaji wake au?

Swali nani katoa ruhusa kwa TFS na Wizara ya Maliasili kujenga Makao Makuu yao Mkoa wa Mwanza Kwa kisingizio cha deforestation Kanda ya Ziwa?

Huo ni upuuzi na utoto kuleta hoja ya kijinga na kukiuka sheria ya Nchi.Hivi Kati ya Dodoma na Kanda ya Kati kiujumla ukilinganisha na Kanda ya Ziwa wapi kunahitaji nguvu kubwa ya kupanda miti Ili kuboresha mazingira?

Waziri husika achana kabisa na huu mpango vinginevyo inakuwa haina maana ya kuwa na Makao Makuu ya Nchi na hivyo tuanze kusambaza taasisi za Kiserikali kikanda na kimkoa..

Mh.Waziri Mkuu zuia huu ujinga. Ingewezekana na TPA wangehamia Dodoma ila hakuna Bahari.[emoji116]

View attachment 2302979
Hiyo ni ccm, hawaishi kutengeneza ulaji. Ukataji miti ukishamiri Mtwara, makao makuu yanahamia Mtwara, na kadhalika. Pesa badala ya kutumiaka kupanda miti, zinaishia kwenye masuala ya utawala wa kuiba ni jinsi gani watu wanahama Mwanza, na hapo ndio Kila mtu hupata ulaji kwa urefu wa kamba yake, kama rais Suluhu anavyowataka wafanye!
 
Sheria ya kuwa Dodoma ni Makao Makuu ilipitishwa Ili iwaje?

Makao Makuu sio maneno bali ni taasisi za Kiserikali kuwepo sehemu ambayo ndio makao makuu ya Nchi.
WaTz wanajua Sheria basi? Ndio maana nchi inaendeshwa hovyo, hakuna anayeona umuhimu wa utaratibu wowote, achilia mbali Sheria na Katiba.
 
Back
Top Bottom