Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa upuuzi wako hapa.Tuna Makao Makuu ya Nchi ngapi?Tfs ni taasisi iliyo chini ya wizara. . kama wilaza iko Dodoma .ni sawa taasisi yake kuwekwa mikoa mingine..... mfano TANAPA Arusha, tume ya atomiki na nishati ARUSHA,Bodi ya pamba , Mwanza.wakala wa huduma za meli Mwanza ..
Jamaa anaongelea mambo ya duniani wakati anaishi utopeni kwenye kula kwa kuvimbisha tumbo ndio kushibaWenzenu wa Dunia ipi? Wanafanyaje? Kwani lazima kupiga kila kitu huko unakoita Duniani?
Ina justification ipi? Usivo na utimamu utakurupuka kunijibuTANAPA ina justification, vipi TFS?
Mbona hujiulizi ,mji mkuu wa south Afrika ni Pretoria lakin mahakama kuu ipo bloomfotein na bunge lipo cape Town ..Toa upuuzi wako hapa.Tuna Makao Makuu ya Nchi ngapi?
Acha kukariri maisha ...makao makuu ni wizara , bunge na mahakama ndo zinatakiwa ziwekwe . kuhusu taasisi za serikali zina uhuru wa kuwa Sehemu yoyote nchini kwa kuangalia diversification ya huduma zaoToa upuuzi wako hapa.Tuna Makao Makuu ya Nchi ngapi?
Makao makuu ya Tanzania yapo Dodoma lakini haimaanishi lazima kila taasisi iwe Dodoma.Jikite kwenye hoja..Makao Makuu ya Nchi ni wapi?
Nini maana ya Dodoma kuwa Makao Makuu ya Nchi?
Acha upumbavu wa kutetea upuuzi Kisa unatoka huko.
Huo ukabila unao wewe. . kichwani mwako ... Dodoma ni makao makuu ya nchi toka nyerere lakini haikujengwa hata ofisi ya TANESCO ..huyo unayemsema hakufaa kuwa rais ndo kapafanya Dodoma pashine . sometime unakuwaga jinga etKwa kupitia huu Uzi bila shaka wote tumeona jinsi jamii fulani ikijali ukabila na ukanda kuliko Maslahi ya Taifa.
Yule mtu hakutakiwa kabisa kuwa Rais wa Nchi yetu na kamwe tusije kurudia hili kosa..
Wanaotetea kuvunja sheria Kisa ubinafsi sasa sijui kila mtu akitaka kwao itakuaje.
Amesahau kuwa hata chuo ya maliasili na wanyama pori kiko mwanza Pasiansi! Na hii bila shaka ndo sababu pia ya kusogeza makao makuu mwanza!Huo ukabila unao wewe. . kichwani mwako ... Dodoma ni makao makuu ya nchi toka nyerere lakini haikujengwa hata ofisi ya TANESCO ..huyo unayemsema hakufaa kuwa rais ndo kapafanya Dodoma pashine . sometime unakuwaga jinga et
Hivi waziri sio Pindi Chana?Kwani Ndumbalo ndie Waziri wa Maliasili na Utalii? Sio kweli
Unawashwa kweli leo,Rubbish
Hakuna chuo Cha Kitaifa ila kuna taasisi za Kitaifa.Amesahau kuwa hata chuo ya maliasili na wanyama pori kiko mwanza Pasiansi! Na hii bila shaka ndo sababu pia ya kusogeza makao makuu mwanza!
Kwa dunia ya sasa, hizi sababu hazina msingi wowote. Haya mambo yalikuwa ni siku za zamani, ambapo mawasialiano na teknolojia kwa ujumla yalikuwa duni.Nataka nitofautiane na mawazo ya wengi, kwangu haikuwa na maana hata kujenga makao makuu Dodoma niliwaza kwa sauti kama wanavyofanya wenzetu wa huko duniani kwamba huduma zisambazwwe kote nchini, huwezi kuwa na Wizara ya Kilimo makao yake makuu yakae sehemu ambayo hawalimi, mtazamo wangu Maliasili na Utalii ingekua kule Arusha kama ilivyo TANAPA hao wa mamiti na misitu wangekaa hata Iringa ama Sumbawanga, watu wa Kilimo wangekaa mikoa inayolima Mbeya, Iringa etc, wengine ambao hawana specific tasks wangekaa sehemu moja , hii inasaidia kusambaza huduma nchi nzima sio kukaa sehemu moja tu.Hata hao wanaojiita wamehamia Dodoma wako Dar siku zote wanafanyiwa Massage na Scrub ni usanii tu.
Tungekuwa tunajali Hela zetu Kwa ajili ya kuwasomesha kizazi kijacho, makao makuu yangeendelea kubaki dar, na idara nyingine na matawi kuboreshwa na hizo Hela za kujengea jengo wakakopeshwa Vijana kusomea elimu ya juuNchi ngumu hii, makao makuu ya taasisi ya serikali kuhamishiwa Mwanza?
Watu wanajenga hoja mufilisi na kutumbua mabilioniKwa dunia ya sasa, hizi sababu hazina msingi wowote. Haya mambo yalikuwa ni siku za zamani, ambapo mawasialiano na teknolojia kwa ujumla yalikuwa duni.
Sio lazima Kwa serekali mtandaoSheria ya kuwa Dodoma ni Makao Makuu ilipitishwa Ili iwaje?
Makao Makuu sio maneno bali ni taasisi za Kiserikali kuwepo sehemu ambayo ndio makao makuu ya Nchi.
naona umerukia kukashfiana, vipi unaweza ligi za matusi ili twende sawa?Ina justification ipi? Usivo na utimamu utakurupuka kunijibu