Nani ana gharama zaidi? Fast jet ni shs 334,000-466,000 na Airtanzania ni shs 324,000- 664,000 kwenda Mwanza na kurudi

Wewe mbumbumbu wa uchumi yaani hata hao unaowaita wanakijiji wanakuzidi kufikiri kibiashara. Hujui kuwa ndege hizo zitaongeza uchumi wa nchi kupitia utalii pia ujuwe ndege hiyo itaongeza image ya nchi kidunia..!! Au unapinga tu kila kitu.
 
Ndiyo kwa kuwa na ndege kama kitendea kazi hiyo moja ya njia ya kuifufua ATCL au unafikiri kuifufua ATCL mpaka wafanye nini??
Kumbe mchakato bado unaendelea, hapo nimekuelewa!!
 
Ndiyo kwa kuwa na ndege kama kitendea kazi hiyo moja ya njia ya kuifufua ATCL au unafikiri kuifufua ATCL mpaka wafanye nini??
Kwani huko nyuma si tulikuwa na ndege nyingi? Kilichofanya zitoweke ni nini? Unadhani ununuzi wa ndege PEKEE ndo kutaifufua ATCL?
 
mweee!
 
Soko la tiketi za ndege liko tofauti sana, sio fixed. Ungeweka na tarehe kabisa ya fastjet ungekuwa umeonesha cha maana. Ndani ya mwezi mmoja, hao hao fastjet wanaweza badilika. Yategemeana na umekata lini na unategemea kurudi lini ma hiyo tiketi yako.
Weka tarehe za ndege zote mbili kwa tarehe moja ya kuondoka na kurudi ma siku uliyokata hiyo tiketi.
 
Wewe mbumbumbu wa uchumi yaani hata hao unaowaita wanakijiji wanakuzidi kufikiri kibiashara. Hujui kuwa ndege hizo zitaongeza uchumi wa nchi kupitia utalii pia ujuwe ndege hiyo itaongeza image ya nchi kidunia..!! Au unapinga tu kila kitu.
Hao watalii toka nchi gani
 
unafananisha nauli ya ndege mpya na mikweche?
 
kama hamuwez kupanda dreamliner kapandeni fisi za bibi zenu. baadhi ya wa tz nawachukia sana. maana full malalamishi kila jambo
 
Utanyooka tu!! Ulisema hatuwezi kununua Boeing 787-8 Dreamliner imekuja sasa unahangaika na nauli huwezi panda punda!!
Watapata shida sana
 
Bado nashindwa wenye makali wamefikiria kitu gani kuiweka hiyo Dream liner kwenye local services wakati hizo bomberdier hazina wateja wakutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…