Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point mkuu wangu1. Kuvaa nguo ni matokeo ya dhambi
2. Adam na Eva walijiona wako uchi tuu baada ya kutenda dhambi,hivyo kama hutendi dhambi nguo haina maana yoyote kwako
3. Ona Ndege wenye rangi nzuuri kama tausi,chiriku, ona pundamlia,twiga, mbwa na paka hasa hasa vikizaliwa vikiwa vidogo vinavyovutia wote wale wapo uchi lakini hatujawahi kufikiri kama wapo uchi na tunatamani hata tuwashike, wale hawatendi dhambi na ndio neema ya kukikingwa dhambi ya asili ambayo Babu zetu Adam na Eva waliitenda
4. Wamasai, watindiga na wabarbaigi hawavai nguo lakini wanaishi kwa amani
5. Asili ya waafrika wote walikuwa hawavai nguo na hizi nguo zimeletwa kama tamaduni za waarabu na wazungu waliokuja na dini na kutulazimisha tubebe dini pamoja na mila na desturi zao
6. Huwa ninapinga vikali baadhi ya watu kwa imani zao walizolishwa na wakoloni kuwalazimisha watu wengine wavae watakavyo wao bila kujali yule mtu ana imani tofauti na yeye.
Weka picha za jinsia ya kike ndio tutakuwa ma majibu sahihiMwonekano wao kwa baadhi ya watu ni kama huu hapa chini
View attachment 874238View attachment 874236View attachment 874237View attachment 874239
Hata wadada wa mjini wanayo, wanaita vitambiHayo matumbo
Yeah waqt wa mvuaHivi huwa wanaoga hawa?
Ni kweli hizo tai walizokosea wakafunga chini zimeharibuwanamatumbo makubwa wote....wamekosea tu kumwacha mshika dau nje
nasemea ya kwenye pichaHata wadada wa mjini wanayo, wanaita vitambi
Ndo hao hao walioko huku jf 😊nasemea ya kwenye picha
Hawali watu mkuuMatumbo yamejaa nyama za watu.
Location;ethiopiaWanapatikana wapi hawa??
Psychology yako haiko powa mkuu una matatizo makubwa mnoWazungu wasingekuja kututawala tungekuwa hivyo mpaka sasa hivi..
Lakini leo sisi ndo tunakuwa wa kwanza kuwatukana
Matumbo kama mafurushi ya nguo. Ebu tupia na za jinsia pendwa