Nani anaestahili kuchukua nafasi ya IGP kumrithi Sirro endapo mabadiliko yakitokea?

Nani anaestahili kuchukua nafasi ya IGP kumrithi Sirro endapo mabadiliko yakitokea?

Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
IGP anatoka pemba na unguja mama anataka Zanzibar ikalie hicho cheo maana wamekimis mda mrefu
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
 
Sirro tangia samia awe Raisi amekosa sana busara hata u Igp umemshinda nikikumbuka jinsi alivokuwa ana mtetemekea bashite nashangaa kweli kweli
Bashite makonda alikuwa akimtesa sana, sasa Dua la kuwabambikia kesi wapinzani na Dua la kuitesa familia ya Hamza kuwakamata hovyo watu wasiohusika ndilo linamtafuna IGP
 
Kuwabambikia kesi wapinzani kuwakamata familia ya Hamza ndilo kosa litamvua cheo IGP
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Apelekwe Jenerali wa JWTZ akaongoze hao raia si unaona Magereza hamna manung'uniko tena
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Ataridhia kutoka kwa nani? Kwamba IGP kaomba kujiudhuru? Acha roho ya kishetani ya kuombea mabaya watu muda wote. Sometimes try to think positively. By the way umeshapata salary slip zako?
 
Kwanza IGP, makamishina wote na ma-RPC wote wastaafishwe kwa manufaa ya umma. Pili achukuliwe mjeda mmoja aliyesomea sheria ateuliwe kuwa IGP. Halafu baadhi ya polisi waliosomea sheria na utawala wapandishwe vyeo wawe makamishina na ma-RPC.
Naunga mkono kwa 100%
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Hicho cheo apewe askari kutoka JWTZ. Hawa policcm hamna kitu wanaweza.
 
Ataridhia kutoka kwa nani? Kwamba IGP kaomba kujiudhuru? Acha roho ya kishetani ya kuombea mabaya watu muda wote. Sometimes try to think positively. By the way umeshapata salary slip zako?
Soma maoni ya watu mitandaoni ndio ujue watu wanataka nini.
 
Ataridhia kutoka kwa nani? Kwamba IGP kaomba kujiudhuru? Acha roho ya kishetani ya kuombea mabaya watu muda wote. Sometimes try to think positively. By the way umeshapata salary slip zako?
Wewe utakuwa mnufaika chawa wake maana umejitoa fahamu zote mpaka huoni kuwa IGP amejaa mapungufu sasa
 
Wewe utakuwa mnufaika chawa wake maana umejitoa fahamu zote mpaka huoni kuwa IGP amejaa mapungufu sasa
Ungelikuwa wewe ni IGP yapi ungefanya. Tatizo la sisi binadamu ni kujiona wakamilifu, tusio na mapungufu hata chembe huku tukiwaona wengine hawafai. Hesabu mapungufu yako kwanza kabla hujaangalia ya mwingine. Ikibidi angalia mapungufu katika familia na ukoo wako, zaidi jitathmini kama umeleta mabadiliko chanya.
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Askari mmoja kutoka Jeshi la wananchi
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Adadi Rajabu au wamrejeshe Saidi Mwema
 
Adadi Rajabu au wamrejeshe Saidi Mwema
Watu mnasahau haraka Sana
Kipindi Cha said mwema si ndio akina zombe walikuwa wanauwa wafanyabiashara, mwangosi alipigwa bomu na Askari, maandamano ya chadema kule Arusha n.k
Kifupi polisi wote wanafanana
 
Iwapo Raisi Samia ataridhia kufanya mabadiliko katika Jeshi la Polisi kwa kumuondoa IGP Sirro, unadhani ni nani atafaa kukabidhiwa mikobo ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini?

Inawezekana tunaona wengi wao ni tatizo, ila ukweli ni kwamba kuna mmoja,wawili au watatu miongoni mwao wanaweza kuwa na afadhali au hata kufaa kabisa kwa nafasi hiyo.

Hivyo, wadau kupitia hapa JF, tutoe mapendekezo ya nani anafaa kumrithi Sirro iwapo ataondoka, ataondolewa au kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kwa mnaowajua vizuri vigogo wa hili Jeshi, msaidieni Mama kujua ni yupi anafaa kuwa IGP baada ya Sirro(tumshauri).

Karibuni kwa mapendekezo (vetting isiyo rasimi).
Wewe
 
Back
Top Bottom