Kwa Katiba hii yeyote atakayekuwa spika bado atakuwa chawa wa Rais tu,mkumbuke Chief Hangaya yupo madarakani kwa miaka mitano kama Makamu na mwaka mmoja kama Rais, ameshanogewa na matumizi mabaya ya madaraka aliyorithi kwa mtangulizi wake. Rais ataendeleza staili ile ile ya kuliweka Bunge mfukoni ili atawale kiulaini.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinanana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe
Na MIMI HAPANdugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe
Bashiru hawezi kudumbukia kwenye matope ya mama na alishaafanya kazi yake kuirejesha ccm sasa mama anajitahidi kuwarudisha magamba kwa hilaHamad Rahid Muhammed alihamiaga CCM?
Spika awe Dr Bashiru Ali Kakurwa
What matters ni kwamba vyama vya siasa vya Tanzania, si CCM si vya upinzani vimejaa wapiga ma deal tu.Leo hii Lowasa yuko wapi? Tena mlimpokea kwa nderemo kurudi nyumbani
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Maza anamuogopa Ndugai kama ukomaNdugai for presidency 2025!
Kwani nafasi ya spika ni ya ccm tu?Hamad Rahid Muhammed alihamiaga CCM?
Spika awe Dr Bashiru Ali Kakurwa
Bashiru hana jimboMkuu hao wote hamna watampa bashiru ili kubalance mzani 2025
Profesa Tundu Lissu hiyo nafasi inamfaa sana.Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe
Yeyote mwenye sifa anaweza bila hata kupitia chama cha siasa.Kwani nafasi ya spika ni ya ccm tu?
Yeyote mwenye sifa anaweza bila hata kupitia chama cha siasa.Bashiru hana jimbo
Mimi ambaye ni mkulima nilishazoea maisha haya, tatizo ni kwa hao waliokuwa wanalia kivulini kwenye awamu ya 5, sasa wanaumia kuona wengine ndio wanakula, wakati wao utamu umekatishwa ghafla!!Nina wasi mnajitungia ili roho zenu ziondoe Stress. Lakini Hiyo Ni kama kunywa pombe , ikitoka Shida iko pole pole. Mwanasiasa Ana maslahi yake sio ya mtu aliyekufa. Labda kama ingekuwa na falsafa. Ila kwa maisha ya Sasa kila mtu na tumbo lake. Hakuna Sukuma gang.