Aliamua kutuliza tu aangalie kwanza game!Chenge kwa sasa anajishughulisha na nini? Yuko wapi? Je yupo kambi ipi?
Viva Sukuma gang.Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!
Sio kwamba aliminywa kipindi kile mana hakuna aliyekuwa salama kuanzia upinzani hadi chama dola. Membe anajua nonachomaanisha hapa.Aliamua kutuliza tu aangalie kwanza game!
Kutonywa na Tulia ni uongo mtakatifu hakuna asiye penda cheo labda Einstein.Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!
Naunga mkono hoja.Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!
Ndiyo hivyo sasa. Lazima kwanza uwe mbunge. Umeelewa sasa?Katiba ibadilishwe hizi nafasi ziwe zinatangazwa wenye sifa wapeleke CV zao kazi ifanyike.
Hawa watu wa kitengo wanaoifanyia kazi CCM ndio kikwazo kimojawapo cha maendeleo ya hili taifa, wanachangia sana kuendeleza umasikini na kudumaza uwezo wa kufikiri wa watanzania.
Huyu huyu mzee wa vijisenti? Ikiwa ni kweli basi watawala watakuwa wanatudharau sana Watanzania.Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!