denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Katiba ibadilishwe hizi nafasi ziwe zinatangazwa wenye sifa wapeleke CV zao kazi ifanyike.
Hawa watu wa kitengo wanaoifanyia kazi CCM ndio kikwazo kimojawapo cha maendeleo ya hili taifa, wanachangia sana kuendeleza umasikini na kudumaza uwezo wa kufikiri wa watanzania.
Hawa watu wa kitengo wanaoifanyia kazi CCM ndio kikwazo kimojawapo cha maendeleo ya hili taifa, wanachangia sana kuendeleza umasikini na kudumaza uwezo wa kufikiri wa watanzania.