Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Katiba ibadilishwe hizi nafasi ziwe zinatangazwa wenye sifa wapeleke CV zao kazi ifanyike.

Hawa watu wa kitengo wanaoifanyia kazi CCM ndio kikwazo kimojawapo cha maendeleo ya hili taifa, wanachangia sana kuendeleza umasikini na kudumaza uwezo wa kufikiri wa watanzania.
 
Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!
Viva Sukuma gang.
Mama amewakana wavaa kanzu na wala urojo kweli siamini.
 
Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!
Kutonywa na Tulia ni uongo mtakatifu hakuna asiye penda cheo labda Einstein.
 
Naanza kuyajua ambayo Upinzani kama ungebahatika kushika dola ambayo wangefanya.
 
Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!
Naunga mkono hoja.
 
The Havard Varsity alumini....with all chips relaying info to the "cloud web" owners. Joking ingawa siyo mazuri.
 
Katiba ibadilishwe hizi nafasi ziwe zinatangazwa wenye sifa wapeleke CV zao kazi ifanyike.

Hawa watu wa kitengo wanaoifanyia kazi CCM ndio kikwazo kimojawapo cha maendeleo ya hili taifa, wanachangia sana kuendeleza umasikini na kudumaza uwezo wa kufikiri wa watanzania.
Ndiyo hivyo sasa. Lazima kwanza uwe mbunge. Umeelewa sasa?
 
Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!
Huyu huyu mzee wa vijisenti? Ikiwa ni kweli basi watawala watakuwa wanatudharau sana Watanzania.

Vv
 
Atakae chaguliwa sio spika atakuwa subwoofer ,maana wabunge waliopo hawakuchaguliwa na wananchi ,ngoja Ndugai wazimu wake umpande inakuwa hana msalie mtume anarapu kuliko gari iliyoburst egzozi
 
Kwa mtazamo wangu kutokan na uzoefu, umakini, busara, hekima za ndugu ridhiwan kikwete anafaa kuongoza muhimili huu wa bunge na imani yangu itakua historia kwa kijna hyu kuliongoz bunge kwa umakin mkubwa hatutegemei kusikia maneno ya ajabu kutoka bungen kwani amelelewa na kukuzwa katika misingi ya uongoz
20220105_093853.jpg


Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom