Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No... hatamfunika, it's the other way around, baada ya Mama kuanza to show her true colors na kukunjua makucha, her weaknesses pia are now visible with plain eyes, hivyo kiukweli kabisa, Mama anahitaji kusaidiwa seriously ili aweze, Dr. Tulia hawezi kumsaidia but Chenge can!. Tumeona madhara ya a compromised perliament, Chenge sio a compromising man kwenye vitu vya kijinga jinga, hivyo atamsaidia sana Mama, kulisaidia Bunge lisipitishe sheria za ajabu ajabu na kulisaidia Taifa.Chenge atamfunika SSH, kile kichwa kinajua kucheza na jamii..Labda SSH amwombe kuwa naomba unibebe kuelekea 2025.
Mimi napempendekeza Andrew Chenge. Sababu zangu ni hizi
nimezitoa kwenye bandiko hili
Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants
Wanabodi, Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwasababu kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubadilisha to change for the better!. Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi...www.jamiiforums.com
No... hatamfunika, it's the other way around, baada ya Mama kuanza to show her true colors na kukunjua makucha, her weaknesses pia are now visible with plain eyes, hivyo kiukweli kabisa, Mama anahitaji kusaidiwa seriously ili aweze, Dr. Tulia hawezi kumsaidia but Chenge can!. Tumeona madhara ya a compromised perliament, Chenge sio a compromising man kwenye vitu vya kijinga jinga, hivyo atamsaidia sana Mama, kulisaidia Bunge lisipitishe sheria za ajabu ajabu na kulisaidia Taifa.
P
OvaMzanzibar yeyote tu fresh!
Pamoja sana!Ova
Hata Mimi nilikuwa nawaza Kama wewe.
Hata sisi hatukuwahi kuwa na Spika wetu huko Zenji, kwa hili zali la mama mnapaswa kutulia kama mnanyolewa.Ni zamu ya mzanzibari kuwa speaker wa bunge sasa, haijawahi kutokea mzanzibari kushika nafasi hio, wakati ni huu
PM huyoooAkinamama kama jenister muhagama wale shule hamna kabisa wapiga domo tu...ila watawania
Tunaendelea kuwapendekeza wazee baada ya kutafuta damu changa ili ziweze kusukuma gurudumu hili. Wazee mda wao imekwisha Ila kipindi cha magufuli alikuepo anawaibua vijana .Mimi napempendekeza Andrew Chenge. Sababu zangu ni hizi
nimezitoa kwenye bandiko hili
Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants
Wanabodi, Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwasababu kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubadilisha to change for the better!. Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi...www.jamiiforums.com
No... hatamfunika, it's the other way around, baada ya Mama kuanza to show her true colors na kukunjua makucha, her weaknesses pia are now visible with plain eyes, hivyo kiukweli kabisa, Mama anahitaji kusaidiwa seriously ili aweze, Dr. Tulia hawezi kumsaidia but Chenge can!. Tumeona madhara ya a compromised perliament, Chenge sio a compromising man kwenye vitu vya kijinga jinga, hivyo atamsaidia sana Mama, kulisaidia Bunge lisipitishe sheria za ajabu ajabu na kulisaidia Taifa.
P
Ukubwa dawa!.Tunaendelea kuwapendekeza wazee baada ya kutafuta damu changa ili ziweze kusukuma gurudumu hili. Wazee mda wao imekwisha Ila kipindi cha magufuli alikuepo anawaibua vijana .
Uvutaji wa Bange / Bangi kwa Wabunge Wote Bungeni utaruhusiwa na hata Kuuziana humo humo Wabunge kwa Wabunge.Halima mdee