Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChengeeeeeKufuatia kujiuzulu kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai leo hii, kiti cha Spika kipo wazi. Je nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge letu?
Vijana wenyewe ndiyo hawa sampuli za akina Sabaya na Makonda!? At least CHADEMA kuna vijana wanaojielewa, but unfortunately there's no way wakapenya kwenye nafasi hiyo kwa sasa. Then niambie huko UVCCM kuna kijana gani au damu changa ipi yenye akili na uwezo wa kushika nafasi ya juu kama hiyo. Better these old folks na ufisadi wao lakini they've brainsTunaendelea kuwapendekeza wazee baada ya kutafuta damu changa ili ziweze kusukuma gurudumu hili. Wazee mda wao imekwisha Ila kipindi cha magufuli alikuepo anawaibua vijana .
Bila shaka bunge la Adam Sapi hujaliona. Wabunge walikuwa moto sana ingawa wote ni wa ccm lakini lilikuwa lina afadhali kuliko la Yustino.Bunge la samwel sitta nalikubali sana
Kijana gani anayejielewa huko CDM? Mdude?Vijana wenyewe ndiyo hawa sampuli za akina Sabaya na Makonda!? At least CHADEMA kuna vijana wanaojielewa, but unfortunately there's no way wakapenya kwenye nafasi hiyo kwa sasa. Then niambie huko UVCCM kuna kijana gani au damu changa ipi yenye akili na uwezo wa kushika nafasi ya juu kama hiyo. Better these old folks na ufisadi wao lakini they've brains
Hii ishu ya ufisadi wa Chenge mimi sijawahi kuielewa, ni zile zile siasa chafu zilizoanza awamu ya 3Mimi napempendekeza Andrew Chenge. Sababu zangu ni hizi
nimezitoa kwenye bandiko hili
Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants
Wanabodi, Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali kwenye uzi huu, kwasababu kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda kwa kutumia maneno makali kama haya, ndio yatasaidia tuweze kuelewana na kutubadilisha to change for the better!. Baadhi ya wananchi wa Tanzania ni ma ignorants, baadhi...www.jamiiforums.com
No... hatamfunika, it's the other way around, baada ya Mama kuanza to show her true colors na kukunjua makucha, her weaknesses pia are now visible with plain eyes, hivyo kiukweli kabisa, Mama anahitaji kusaidiwa seriously ili aweze, Dr. Tulia hawezi kumsaidia but Chenge can!. Tumeona madhara ya a compromised perliament, Chenge sio a compromising man kwenye vitu vya kijinga jinga, hivyo atamsaidia sana Mama, kulisaidia Bunge lisipitishe sheria za ajabu ajabu na kulisaidia Taifa.
P
Unaelewa maana ya phrase "at least"?Kijana gani anayejielewa huko CDM? Mdude?
Uspika na unaibu unachaguliwa hakuna promotion. Hivyo labda ajiuzulu unaibu kwanza kisha aombe kugombea uspika.Hakuna namna ni Tulia Akson Mwansasu
Ni nani huyo "at least"? Nieleweshe Chief, maana huko CCM kuna vijana wanafanya vizuri tu, Mfano ni waziri wa Utumishi, ambaye kwa utendaji wake na maadili sioni wa kufanana naye pande hizo unazosifiaUnaelewa maana ya phrase "at least"?
Uvutaji wa Bange / Bangi kwa Wabunge Wote Bungeni utaruhusiwa na hata Kuuziana humo humo Wabunge kwa Wabunge.
Wa zanzibar wengi wao form two BOva
Hata Mimi nilikuwa nawaza Kama wewe.
Hakuna namna ni Tulia Akson Mwansasu
Ni issue ya kitambo, ikihusisha "tujisenti" fulani hiviHii ishu ya ufisadi wa Chenge mimi sijawahi kuielewa, ni zile zile siasa chafu zilizoanza awamu ya 3
Binafsi nakupendekeza wewe sababu zifuatazo kwanza ni kada mtiifu wa ccm, pili ni nguli wa sheria na habari, tatu sio mgogo, nne huwa unabadilika kutokana na mazingira hii itakusaidia kuendana na raisi na sio kwenda tofauti naeNi issue ya kitambo, ikihusisha "tujisenti" fulani hivi
PThe Radar Scam: Chenge & Rashid...
Radar deal`s top 10 2009-02-08 11:28:27 By Staff Writer After nearly three years of investigation, the UK`s Serious Fraud Office has implicated at least 10 top officials in Tanzania and Britain in the trumped up radar deal that cost the country $40m, The Guardian on Sunday can reveal. The...www.jamiiforums.com
Zungu kweli anaweza,Tulia ana msimamo mkali zaidiZungu anatufaa sana ili amshauri mama aongeze tozo ya kucheka, tozo ya kutembea kwa miguu na tozo ya kupanda daladala.