Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Tunaendelea kuwapendekeza wazee baada ya kutafuta damu changa ili ziweze kusukuma gurudumu hili. Wazee mda wao imekwisha Ila kipindi cha magufuli alikuepo anawaibua vijana .
Vijana wenyewe ndiyo hawa sampuli za akina Sabaya na Makonda!? At least CHADEMA kuna vijana wanaojielewa, but unfortunately there's no way wakapenya kwenye nafasi hiyo kwa sasa. Then niambie huko UVCCM kuna kijana gani au damu changa ipi yenye akili na uwezo wa kushika nafasi ya juu kama hiyo. Better these old folks na ufisadi wao lakini they've brains
 
Vijana wenyewe ndiyo hawa sampuli za akina Sabaya na Makonda!? At least CHADEMA kuna vijana wanaojielewa, but unfortunately there's no way wakapenya kwenye nafasi hiyo kwa sasa. Then niambie huko UVCCM kuna kijana gani au damu changa ipi yenye akili na uwezo wa kushika nafasi ya juu kama hiyo. Better these old folks na ufisadi wao lakini they've brains
Kijana gani anayejielewa huko CDM? Mdude?
 
Mimi napempendekeza Andrew Chenge. Sababu zangu ni hizi
nimezitoa kwenye bandiko hili

No... hatamfunika, it's the other way around, baada ya Mama kuanza to show her true colors na kukunjua makucha, her weaknesses pia are now visible with plain eyes, hivyo kiukweli kabisa, Mama anahitaji kusaidiwa seriously ili aweze, Dr. Tulia hawezi kumsaidia but Chenge can!. Tumeona madhara ya a compromised perliament, Chenge sio a compromising man kwenye vitu vya kijinga jinga, hivyo atamsaidia sana Mama, kulisaidia Bunge lisipitishe sheria za ajabu ajabu na kulisaidia Taifa.
P
Hii ishu ya ufisadi wa Chenge mimi sijawahi kuielewa, ni zile zile siasa chafu zilizoanza awamu ya 3
 
Zungu angefaa lakini Afya haimruhusu ya akili ni kama ndugai tuu na nimemwona hivi karibuni hapana anaweza kutumwaga zaidi mwezi ukiwa mchanga
 
Unaelewa maana ya phrase "at least"?
Ni nani huyo "at least"? Nieleweshe Chief, maana huko CCM kuna vijana wanafanya vizuri tu, Mfano ni waziri wa Utumishi, ambaye kwa utendaji wake na maadili sioni wa kufanana naye pande hizo unazosifia
 
CCM yote yawezekana.
20220107_061030.jpg
 
Uvutaji wa Bange / Bangi kwa Wabunge Wote Bungeni utaruhusiwa na hata Kuuziana humo humo Wabunge kwa Wabunge.

Hahahaa,kwa mtazamo wangu pale mtu yoyote anaweza kuwa sabufa,sababu muilili uliojichimbia chini ndio editor kwaiyo huitaji kuwa competent.
 
Hii ishu ya ufisadi wa Chenge mimi sijawahi kuielewa, ni zile zile siasa chafu zilizoanza awamu ya 3
Ni issue ya kitambo, ikihusisha "tujisenti" fulani hivi
P
 
Ni issue ya kitambo, ikihusisha "tujisenti" fulani hivi
P
Binafsi nakupendekeza wewe sababu zifuatazo kwanza ni kada mtiifu wa ccm, pili ni nguli wa sheria na habari, tatu sio mgogo, nne huwa unabadilika kutokana na mazingira hii itakusaidia kuendana na raisi na sio kwenda tofauti nae
Nb; inabidi uitishe press conference uthibitishe kuwa sio sukumagang kama alivyofanya Chidy boy Gwajima
 
Back
Top Bottom