Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

๐Ÿ˜‚Subiri Matokeo ya kushangaza ๐Ÿ’ช๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‘
 
Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.

Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Tuna taka katiba mpya
 

Wanataka kuleta speaker mlugaluga wa enzi za mwalimu
 


Wanaonea wivu wa mafanikio hawawezi kumpa Masele

Masele anagesongesha Taifa mbele kisasa na si kikoloni
 
Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.

Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Si kweli , kuna majina yatapigiwa kura na kamati ya wabunge wa ccm,,
Hivyo kamati kuu wala haiitaji kupasuka vichwa,
Acha propaganda
 
Hiyo kamati kuu wakimpitisha Tulia itadhihirisha ilivyo muhimu kupata katiba mpya.

Tulia ni batili kwa sababu haja jiuzulu unaibu spika. Hivyo hastahili kujadiliwa kwenye nafasi ya uspika.
Kwenye ngazi ya chama ruksa,, jina likienda bungeni ndiposa atajiuzulu
 
Ndivyo ilivyo hadi sasa na haya majina mawili ndio yanaipasua kichwa Kamati Kuu ya CCM.

Kwa pamoja tuiombee CCM jamani bila kujali itikadi zetu.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Mama anamptisha cheusi ili aongeze chawa wake
 
Si kweli , kuna majina yatapigiwa kura na kamati ya wabunge wa ccm,,
Hivyo kamati kuu wala haiitaji kupasuka vichwa,
Acha propaganda
Kamati kuu ikishateua, basi huyo ndiye Spika.

Pale bungeni ni utaratibu tu wa kikanuni.

Hakuna mbunge wa kupinga jina lililopelekwa na Kamati kuu.
 
Hakuna anayeridhika na kidogo, hiyo kanuni ya kuwa chini siku zote haipo,kujiuzulu au kutokujiuzulu hakufanyi asiwe na sifa na nia ya kujaribu Uspika.
Kwa hiyo ulikuwa unaunga mkono katiba ibadilishwe ili shujaa aendelee kusalia madarakani atake asitake??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ