Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie asijisumbue ataabika ukishajiuzuru huwezi gombea ukapitishwaJob Ndugai atachukua fomu ya Uspika na atachaguliwa kwa Mara nyingine kuwa Spika wa JMT
Mmhh haiwezi tokeaJob Ndugai atachukua fomu ya Uspika na atachaguliwa kwa Mara nyingine kuwa Spika wa JMT
Iwapo wamedhamiria kutukoroga watajaribu kufanya hivyo.Mmhh haiwezi tokea
Job hatoshei, kiatu chochote.Ndungai usikubali vijembe vya kimakunduchi,rudi kwa staili ya Lipumba,wazalendo tuko pamoja na wewe.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
... hiyo inaitwa struggle for power among antagonistic groups. Wameshakula wamevimbiwa sasa wanawaza madaraka na ukuu; hakuna kingine. Jan. 2022 unawaza 2025? Kama sio wazimu nini?Mwaka wa vurugu na fujo Kuna Nini wananchi wenzangu?
Hadi wa kuteuliwa pia ?Hamad Rahid Muhammed alihamiaga CCM?
Spika awe Dr Bashiru Ali Kakurwa
Au kaburini!Kabla hajachukua hiyo form atakuwa hoi kitandani, mangula cha mtoto
Hizi zitaishia kuwa tetesi ,hakuna kigogo kumzidi Samia na ndio anapangua safu,hao vigogo wengine labda wa ufipa huko .Job Ndugai atachukua fomu ya Uspika na atachaguliwa kwa Mara nyingine kuwa Spika wa JMT
Job Ndugai atachukua fomu ya Uspika na atachaguliwa kwa Mara nyingine kuwa Spika wa JMT
Kwa hiyo na wewe kwa akili zako za hovyo unaona inawezekanaNchi ina viongozi wa hovyo sana..
Unalosema linaweza kutokea pia,, nchi hii haieleweki kabisa siku hizi..
Ndugai amejiuzulu bila kufanya kosa lolote,,,coz alichosema wala sikuona kama ni kosa
Stuka kwenye hii ndoto utajinyeaNdugai for presidency 2025!
Sukuma gang bado kuna mwanga utajikojolea barabarani 😝😝Ndugai for presidency 2025!
Ndugai for presidency 2025!
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]Unadhani watanzania wote tunavuta bangi?
Mama anataka vijana wewe unawaleta wazee ambao hata hawafikiriwi hao Wana makandokando mengi na Wana timu zao,Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.
1. Tulia Ackson
2. Andrew John Chenge
3. Abdurahman Omari Kinana
4. Mussa Azan Zungu
5. Hamad Rashid Mohamed
6. Dr Harrison Mwakyembe
7. Jenister Joachim Mhagama
8. David Mwakiposa Kihenzile
9. Stephen Masatu Wassira
10. Dr Harrison Mwakyembe
Job Ndugai atachukua fomu ya Uspika na atachaguliwa kwa Mara nyingine kuwa Spika wa JMT