Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Huu si ndio upuuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama Mama aliona shida kubwa ya Ndugai ni race ya 2025, basi itakua hivyo pia kwa kiongozi yoyote wa muhimili kutoka kwenye Generation ya kina Ndugai, kulewa kiti na kuanza kuuwazia uRais 2025....Damu changa inahitajika kuongoza mhimili huu kwa sasa hivyo kwangu ni:

1. David Kihenzile - ni Mwenyekiti wa Bunge wa sasa pekee kijana, energetic , very smart upstairs na mtulivu sana na hana papara. Atasaidia kuzalisha mhimili wenye maisha mapya.

2. Steven Masele - Kijana mwenye exposure nzuri ya Bunge East Africa, brilliant indeed, mtulivu na hana papara. He can help run the seat well.

3. Andrew Chenge - He is out of race, na hatokua na ligi za kijinga za kisiasa, atasaidia tu kusogeza muda bunge liende salama na kuleta utulivu.

4. Dr. Emmanuel Nchimbi - Man of Good politics, ili bunge lisiwe na matabaka anaweza saidia kurudisha umoja wa mhimili, japo atafanya siasa zake zaidi za uRais kuliko uspika atakaopata.
Kihenzile mweke pembeni kabisa, ni mtu wa kuyumbishwa. Cheo Cha DAS HUko Arusha hakuperform vyema, bado hajakwiva
 
Sgang bado mnahamu ya kutuvurugia taifa eehh.
Watu wenye dhana au concept ya gangs ni watu waliofirisika kimawazo na wanatumika na waliotoa uhai wa Rais wetu mpendwa kumdhalilisha.Hawa ni makuadi wa mabeberu,na ni lazima Watanzania wawaogope kama ukoma,hawana nia njema na nchi yetu kabisa.
 
Nireteeen Gwajimaaaaaa
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
Hii list wote hapa ni wazee ki umri sijui kwanini vijana hamachangamkiii hizo fursa
 
Au Dr. Josephat Gwajima
images (94).jpeg
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe

Wazanzibari wachukue hiki kiti. Angechukua mama mwenyewe, mtoto, mkwe, mpwa, binamu nk ingemsaidia kumaliza fukuto lote la 2025.
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
Halima mdee anafaa japo umemsahau kwenye list
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
Aisee anayefaa ni Robert Kisinini tu. Hebu mcheki hapa, kuanzia 0:45
 
Ww ni mwakyembe nn mbona unarudia rudia jina lako ? Kama ni ww wala haufai

Mwakyembe anajipigia promo!! Huyo Hafai kabisa Ndio maana Kyela walimtosa. Hiyo nafasi ingemfaa Andrew Chenge.
Hapo anahitajika kwa wakati huu mtu anaejiamini na ambae hawezi kuyumbishwa; Chenge has those qualifications.
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
Edit No. 6 na No. 10.
 
Ndugu wana Jamvi, Najaribu kuwaza kiundani kuangalia nani atavaa koti la mzee wetu wa Galilaya (Mh. Job Ndugai) na likamtosha kwenye kiti cha uspika, Tusikie maoni yako kwa hawa hapa chini, pia tuongezee unayeona anafaa na hajawekwa kwenye list.



1. Tulia Ackson

2. Andrew John Chenge

3. Abdurahman Omari Kinana

4. Mussa Azan Zungu

5. Hamad Rashid Mohamed

6. Dr Harrison Mwakyembe

7. Jenister Joachim Mhagama

8. David Mwakiposa Kihenzile

9. Stephen Masatu Wassira

10. Dr Harrison Mwakyembe
11. Kassim Majaliwa

12. Mark Mwandosya

13. Joseph Butiku

14. David Kafulila.
 
Back
Top Bottom