Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!
Kwa kazi ya uspika mie pia naunga mkono

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Unamaanisha kipindi hiki cha chief hangaya ama nene?
 
Nyoka wa makengeza,Gamba lililomshinda Nape na JK kulivua.

Lilidai Gamba limekwama kiunoni mwenye uwezo wa kulivua ajitokeze.Hakuwepo mpaka Mwendazake jabali la Afrika alipolikata kichwa joka la makengeza.
 
Badala ya kudai katiba mpya kwanguvu zote mumekalia ushabiki mnategemea miujiza ijitende yenyewe
 
Unatushangaza Sana. Unapendekeza majina mfu kisiasa kurudishwa tena madarakani? Mbona kuna watu wengi tu wenye sifa nzuri kwa kazi hiyo? Hili ni tatizo linalotokana na kuwa chawa ambaye hawezi kuishi nje ya koti na harufu ya binadamu aliyemganda, yaani king'ang'anizi haswa.
 
Yaani Mtu anatoka Zanzibar kuja kutuongoza wakati kwao hata unyumbakumi tu hupati?
 
Kwa uzoefu alionao, mkongwe bungeni, muelewa, ana busara, anaheshimika, hana mihemko

na alishawah kuhudumu nafasi ya sera na bunge



bunge letu ni sehemu ya kuendeshea maisha ya watanzania hivyo hatuhitaji mipasho na ubabe kama alivyokuwa jamaa yenu!

Hope CCM watapatia kuleta jina hilo
 
Ikitokea kweli kinana akachukua fomu lukuvi akatizi ila yote kwa yote Lukuvi hawezi kuwa spika. Jina la spika mpya litashangaza wengi
 
Ikitokea kweli kinana akachukua fomu lukuvi akatizi ila yote kwa yote Lukuvi hawezi kuwa spika. Jina la spika mpya litashangaza wengi
kinana hawez kuwa spika! uspika sio lelemama! mwendo wa vifungu

kinana labda makamu mwenyekiti CCM
 
Ngoja tutajua ukweli, inawezekana anapewa nafasi ya kugombea urais
 
Back
Top Bottom