johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Haya siyo maigizo bwashee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia akili kubwa sana, we muone simple simple.Kutonywa na Tulia ni uongo mtakatifu hakuna asiye penda cheo labda Einstein.
Akili kubwa mbele ya mfupa wa uongozi,Tulia akili kubwa sana, we muone simple simple.
Tajiri chenge....I love you Tanzania, Chenge na vijisent alivyohifadhi Jersey bado atalelewa na pension ya Speaker mpaka kufa kwake.
Pia kule kwao ni MtemiTajiri chenge....
Mzungu chenge....
Ova
Yah ni mtemiPia kule kwao ni Mtemi
Inategemea Kiongozi.Viomgozi hupenda kutumia akili kubwa kwa ushauri.Akili kubwa mbele ya mfupa wa uongozi,
huwa haina maana.
Kwa upupu alioongea juzi anaakili ipi kubwa?Inategemea Kiongozi.Viomgozi hupenda kutumia akili kubwa kwa ushauri.
Imebidi niingie kwenye ukurasa wa Bunge.Za chini ya kapeti zinaonesha kuwa kuna kundi la watu wa Kitengo wamemtafuta mpaka kumpata na tayari ameshajuzwa kuwa kuna Baraka zote yeye agombee Uspika amalizie awamu hii ili aje kumwachia Tulia. Inasemekana kuwa hao watu wa Kitengo wametonywa wazo hilo na Tulia mwenyewe baada ya yeye kuwaeleza bado anatafuta uzoefu zaidi na kusema ambaye anaweza kumwachia uzoefu huo ni Msomi Wakili mwenzake Mzee Chenge! Period!
Tayali Chenge ameshachukua fomu leo.Ameshachukua fomu au bado?
Kwani Unaibu amejiuzulu lini?Tulia ndio spika ajaye
Yamekuwa maandazi hayo?Mimi naona huo uspika apewe hata Halima MdeeView attachment 2073985
Kwamba JPM aliona Tulia awe mchepuko wake? Kwamba JPM hakuona wanawake wazuri wa kutafuna hadi amfanye Tulia mchepuko wake? Are you for real?Tulia mchepuko wa JPM anadhani ana hati miliki ya hii Nchi Kua anajipangia
Ingekua story yako ya Chenge mleta mada ina ukweli Basi Tulia angetulia kwenye kiti cha unaibu na hasinge resign
Kwani Unaibu amejiuzulu lini?
Mtanzania yeyote mwenye sif hata wewe mkuuKufuatia kujiuzulu kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai leo hii, kiti cha Spika kipo wazi. Je nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge letu?