Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Angalia kampeni za Lissu zilivyo well organized. Angalia moves za Lissu zilivo well organized. Utapata jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia kampeni za Lissu zilivyo well organized. Angalia moves za Lissu zilivo well organized. Utapata jibu
Huyu na Alphonce Mawazo walijiuzulu udiwani jimbo la Arusha wakiwa CCM kisha wakahamia CHADEMA na hawakurudi tena kugombea udiwani. Yeye na Mawazo ni mapacha kisiasa.Halikatwa kwenye kura za maoni Ccm 2010 ubunge.
VipiAngalia kampeni za Lissu zilivyo well organized. Angalia moves za Lissu zilivo well organized. Utapata jibu
"Si MNAYATAKA TUKIN'GOLEWA TUKIENGULIWA TUTAINGIA BARABARANI"Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa....
Piga kura Linda kura. Others are stills classified
NEC wanasema kazi ya kulinda kura sio ya mpiga kura, wewe unasemaje ?Piga kura Linda kura. Others are stills classified
Huyu ni Chali wa ARusha,Mtoto wa Peter Golugwa (Nafikiri ) Amekulia Arusha Maeneo ya OLmatejoo,Amefanya kazi katika kampuni mbalimbali.Baba yake ni Mchungaji katika Kanisa la PEFA (Sina hakika).Binafsi nafikiri ana utulivu wa kiakili wa kuweza kusimamia kampeni ya Tundu Lissu.Mungu ampe Nguvu.
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]nina zawadi yako bintiLissssuuuuu ni mwanaume na nusu
Nasema hakuna sheria kama iyoNEC wanasema kazi ya kulinda kura sio ya mpiga kura, wewe unasemaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa...
0712702602
Nilijua ni mimi peke yangu natamani kumfahamu huyu nduguPichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa....
Ndio huyu alijitokeza kwenye wale walioitwa na Makonda , akasema yeye baba yake ni Lowassa , ametelekezwaWewe mwenye nafikiri ni mtoto wa mchepuko wa Lowasa ila sina uhakika
Mkuu ungeendelea kidogoNimfahamuvyo kwa taaluma alisomea shahada ya kwanza ya uhasibu, alifanya kazi muda mrefu kwenye NGOs kabla ya kuingia mazima kwenye siasa akiwa kiongozi mwandamizi wa mkoa wa Arusha na baadaye Kanda ya Kaskazini. Ni Mchungaji wa Anglicana na namfahamu kama mwenyeji wa Singida
Ni kijana mmoja smart sana
Huyo ndio kakibeba chama kanda ya kaskazini kitambo sana,mungu ampe maisha marefuPichani za mhe. Amani Golugwa aliye Kampeni Meneja wa Tundu Lissu. Siku za Karibuni alipata mafunzo Kwa ufadhili wa nchi Za Europian Union kuhusu masuala ya kisiasa...
MnyisanzuNimfahamuvyo kwa taaluma alisomea shahada ya kwanza ya uhasibu, alifanya kazi muda mrefu kwenye NGOs kabla ya kuingia mazima kwenye siasa akiwa kiongozi mwandamizi wa mkoa wa Arusha na baadaye Kanda ya Kaskazini. Ni Mchungaji wa Anglicana na namfahamu kama mwenyeji wa Singida
Kufeli shule sio kufeli maishaAlijitahidi sana. Polepole alipiga 0 (sifuri) kabisa kidato cha sita