Uchaguzi 2020 Nani anafahamu wasifu wa Amani Golugwa meneja kampeni wa Tundu A. Lissu?

Uchaguzi 2020 Nani anafahamu wasifu wa Amani Golugwa meneja kampeni wa Tundu A. Lissu?

"Si MNAYATAKA TUKIN'GOLEWA TUKIENGULIWA TUTAINGIA BARABARANI"

Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)

Mpka sasa wameshaenguliwa 500 [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Hakuna hata iliengia Service Road wacha Barabarani
Unafurahia kama vile umezamushiwa kidole cha kati kwenye....
 
Huyu na Alphonce Mawazo walijiuzulu udiwani jimbo la Arusha wakiwa CCM kisha wakahamia CHADEMA na hawakurudi tena kugombea udiwani. Yeye na Mawazo ni mapacha kisiasa.
Hapo unamzingua Binamu
 
Sio kulinda kura,tutabaki ili watutangazie matokeo hapo hapo.

Kwani wao matokeo wanataka tuyapate kwa namna gani? Watatuma kwa posta?

Tumekuja kupiga kura tutabaki watupe matokeo yetu,kisha tutaondoka zetu.

Kwani wao hofu ya nini sisi wapiga kura tukiamua kusubiria wajumlishe na kutujuza.

Kupiga kura watuhamisishe tufike,kupata matokeo watukataze..wasilete ulofa wao.

Tutapiga kura na kungoja watupe matokeo ya hizo kura zetu.

Mkuu umetoa hoja nzito na zenye mashiko sana
 
Huyu jamaa yuko vizuri sana najiuliza Lissu kamuopoa wapi. Asante kwa taarifa
Amani Golugwa yupo kwenye siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Ni bahati mbaya waliowengi hawajui underground movements za Chadema zinafanywa na watu gani, na ni smart kiasi gani.

Chadema ni chama Chenye watu wengi ambao ni underground politicians ambao ni very smart sema wengi hawana muda na media kwajili ya uteuzi kama ccm.

Nani amewahi kujiuliza kukua na kuimarika kwa CHADEMA Nyanda za juu kusini nyuma yake kuna nani ?

Huku kuna vijana smart tena smart kuliko hata kina Bashiru Ally lakini wanafanya kazi katika hali ngumu ya kisiasa but wanaendelea kuexcell.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Amani Golugwa yupo kwenye siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Ni bahati mbaya waliowengi hawajui underground movements za Chadema zinafanywa na watu gani, na ni smart kiasi gani.

Chadema ni chama Chenye watu wengi ambao ni underground politicians ambao ni very smart sema wengi hawana muda na media kwajili ya uteuzi kama ccm.

Nani amewahi kujiuliza kukua na kuimarika kwa CHADEMA Nyanda za juu kusini nyuma yake kuna nani ?

Huku kuna vijana smart tena smart kuliko hata kina Bashiru Ally lakini wanafanya kazi katika hali ngumu ya kisiasa but wanaendelea kuexcell.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
well Noted Mkuu
 
Amani Golugwa yupo kwenye siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Ni bahati mbaya waliowengi hawajui underground movements za Chadema zinafanywa na watu gani, na ni smart kiasi gani.

Chadema ni chama Chenye watu wengi ambao ni underground politicians ambao ni very smart sema wengi hawana muda na media kwajili ya uteuzi kama ccm.

Nani amewahi kujiuliza kukua na kuimarika kwa CHADEMA Nyanda za juu kusini nyuma yake kuna nani ?

Huku kuna vijana smart tena smart kuliko hata kina Bashiru Ally lakini wanafanya kazi katika hali ngumu ya kisiasa but wanaendelea kuexcell.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe. Kama chadema haijafa kipindi hiki cha Jpm basi haitokaa ikufe tena.
 
Nakubaliana na wewe. Kama chadema haijafa kipindi hiki cha Jpm basi haitokaa ikufe tena.
Age group ya wanasiasa wa CHADEMA ni 20 upto 40 years

Hawa ni watu ambao wapo kwenye siasa kwa zaidi ya miaka 40 hata 50 ijayo.

Kwahiyo kufa haitawezekana hata siku moja na kuna dalili ACT WAZALENDO kisikue tena hakina mwelekeo mzuri labda ngoja tuone uchaguzi huu kitatoka vipi.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Age group ya wanasiasa wa CHADEMA ni 20 upto 40 years

Hawa ni watu ambao wapo kwenye siasa kwa zaidi ya miaka 40 hata 50 ijayo.

Kwahiyo kufa haitawezekana hata siku moja na kuna dalili ACT WAZALENDO kisikue tena hakina mwelekeo mzuri labda ngoja tuone uchaguzi huu kitatoka vipi.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Possibiloty ni ACT kuungana kikatiba na Chadema. Tumeona nguvu ya umoja ni kubwa na hakika italeta matokea makubwa sana.
 
Ngorongoro kwa Sasa wanafanyaje?na inapo semwe hifadhi haimaanishi hifadhi unazo zijua wewe,mfano hifadhi ya mlima Kilimanjaro ina wanyama gani?
Sasa Kama wanafanya Ngorongoro Huyo kibarakaaa anapiga kelele za nini
 
"Si MNAYATAKA TUKIN'GOLEWA TUKIENGULIWA TUTAINGIA BARABARANI"

Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)

Mpka sasa wameshaenguliwa 500 [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Hakuna hata iliengia Service Road wacha Barabarani
Mkuu umenifanya nichekee kwa sauti kubwa.

Jamaa ana mkwara mbuzi nakumbuka siku ile anamuwekea pingamizi Magufuli alisema tume isipomuondoa mh Magufuli katika orodha ya wagombea wataingia barabarani.


Hahahaha
 
Back
Top Bottom