Uchaguzi 2020 Nani anafahamu wasifu wa Amani Golugwa meneja kampeni wa Tundu A. Lissu?

Uchaguzi 2020 Nani anafahamu wasifu wa Amani Golugwa meneja kampeni wa Tundu A. Lissu?

ASANTE WAKUU KWA MAONI YENU; INGAWA BADO HATUJAPATA MAELEZO YA KURIDHISHA YA WASIFU WA MHE.AMANI GOLUGWA !

Wengine wanasema ndiye silaha mojawapo ya mhe.Godbless Lema kupata ushindi jimbo la Arusha.
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    8.3 KB · Views: 3
Mbona mmeshindwa kumtafutia kura Lissu kama kweli mko smart kiivo.Lissu atapata kura kidogo sana, Lipumba anaonekana ndiyo atachuana na magufu li japo kwa mbali.Chadema mnashida yaani hadi Lipumba kawazidi.
Hakika.
JamiiForums-1874524951_428x320.jpg
 
Amani Golugwa yupo kwenye siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka kumi sasa.

Ni bahati mbaya waliowengi hawajui underground movements za Chadema zinafanywa na watu gani, na ni smart kiasi gani.

Chadema ni chama Chenye watu wengi ambao ni underground politicians ambao ni very smart sema wengi hawana muda na media kwajili ya uteuzi kama ccm.

Nani amewahi kujiuliza kukua na kuimarika kwa CHADEMA Nyanda za juu kusini nyuma yake kuna nani ?

Huku kuna vijana smart tena smart kuliko hata kina Bashiru Ally lakini wanafanya kazi katika hali ngumu ya kisiasa but wanaendelea kuexcell.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
ha ha haaaaa. kwa kichekesho kingine kama hiki, tupige namba gani? Eti Chadema imeimarika nyanda za juu kusini. Ha ha ha ha haaaaaas
 
"SERIKALI YACHADEMA ITATUMIA WATAALMU WAKE KUAHAKIKISHA MNAKWENDA KUCHUNGA KWENYE HIFADHI" 😂🤣😂🤣

Tundu Lissu (Mzee Wa Faragha)
Wajichekesha tU kama Binti bikra na kwa akili zako matope Huwezi kumwelewa Lissu,

Now, kama Jinga lenu limefyeka pori la Selous kujenga bwawa ambalo halitakamilika Ujenzi wake kwanini tusipunguze mipaka ya hifadhi kutoa fursa zaidi kwa Wananchi kupata maeneo ya kuendesha Shughuli za Kilimo na ufugaji?
 
Wakati vijana wapo kwenye operation Chadema ni msingi; kuna watu walidhani kua Chama kimebanwa hivyo amna mikakati inayoendeleo. Kuna watu walikua nyuma ya viongozi waliteuliwa kueneza Chadema ni msingi bila wao kujua japo uongozi wa juu pia kwa baadhi yao hawakujua hao watu.

Leo watu wanajiuliza wanachi wanaoudhuria kwenye mikutano ya Chadema wanapata taarifa kutoka wapi?

Mimi itoshe kusema kua nimeshiriki nyuma ya watu waliokua wanaeneza Chadema ni msingi kwa maeneo ya Kondoa...Serengeti...Sinyanga bila wao kujua. Japo taarifa zetu pia haifiki kwa walio wengi.

Chadema haitakuja kufa kwasababu ilishakua chama kikubwa tayari.
 
Aisee Amani golugwa hiki kichwa ni machine ya hatari sana, very organized. Licha ya mazingira magumu ya kisiasa pamoja na ufinyu wa resources ila bado kaweza kucoordinate kampeni za Mhe. lissu kuwa za kisasa na zinazoendana na wakati.

I wish this time anafaa sana kuja kuwa katibu mkuu wa chama au nafasi yeyote ya juu ya chama
Mtu yoyote ukimeinua ni rahisi sana kuona udhaifu wake hivyo kushuka thamani.
Abaki hapohapo alipopawezea zaidi

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Wakati vijana wapo kwenye operation Chadema ni msingi; kuna watu walidhani kua Chama kimebanwa hivyo amna mikakati inayoendeleo. Kuna watu walikua nyuma ya viongozi waliteuliwa kueneza Chadema ni msingi bila wao kujua japo uongozi wa juu pia kwa baadhi yao hawakujua hao watu.

Leo watu wanajiuliza wanachi wanaoudhuria kwenye mikutano ya Chadema wanapata taarifa kutoka wapi?

Mimi itoshe kusema kua nimeshiriki nyuma ya watu waliokua wanaeneza Chadema ni msingi kwa maeneo ya Kondoa...Serengeti...Sinyanga bila wao kujua. Japo taarifa zetu pia haifiki kwa walio wengi.

Chadema haitakuja kufa kwasababu ilishakua chama kikubwa tayari.
Asante kwa kazi nzuri na kamwe usirudi nyuma

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Nimefuatilia thread hii mwanzo mpaka mwisho sijaona aliyejibu swali la msingi kwa ufasaha na tuliotaka kujua CV kamili ya huyu bwana tumeachwa mbugani lakini sio mbaya akija yeye mwenyewe akatufafanulia

Binafsi kule twitter kwenye page yake nilikuta kufuri kubwa
1602329212754.png


Lakini baada ya kuomba mara moja akanipa funguo...Tafadhali tunaomba CV yako hivi sasa kwani hatutaki tuipate ikiwa imechakachuliwa kama zile za makaburini
 
Tunaomba CV ya chakubanga pia bila kusahau atuambie ilikuaje akasaliti mchakato wa katiba ya wananchi..
 
Back
Top Bottom