Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa ni mkweli mkuu?kachukue hili dungu jec pale kc global link kwa chris lukosi,bei ya kutupa ,sawa na vanguard
Okay. Gharama zipo eneo gani sasa ufundi au eneo la manunuzi ya spare?!Gari zuri kwa maana ya comfortability na drive feel, ni practical pia na ina utumiaji mzuri wa mafuta kwa large and heavy SUV kama ile.
Kitu ambacho si kizuri hapo ni maintenance costs, hasa discovery 4 kuliko hata 3. Ziko juu na asitokee mtu kukudanganya ni kawaida.
Ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu share hiyo link ya uzi nijionee mkuu.Kuna Uzi huku kuhusu hayo Magari mkuu . Gari nzuri sana sio haya Maprado yamejazana huku mjini kama lst mpaka unafungua gari ya mwenzako .
Mchukue mnyama huyo hutajutaHabari zenu wajumbe wa balaza hili tukufu la wapenda magari.
Mimi raia mwenzenu mnyenyekevu na Mzalendo nipo hapa mbele yenu kupata maoni, ufafanuzi, ujuzi, taarifa na maelezo ya kina juu ya gari hii aina ya Discovery 4.
Najua haya magari yanakuja na options tofauti kwa maana ya kuwa manual transmission na automatic transmission. Pia engine za ukubwa tofauti na fuel tofauti kwa maana ya diesel au petroleum. Lakini pia najua yanakuja kwa kutokea location tofauti kwa maana ya kutokea Ulaya yaani UK na kuna yanayotokea hapa bondeni kwa madiba yaani South Africa.
Hebu nifahamisheni zaidi enyi watukufu watalaamu na wapenda magari wenzangu. Napenda nifahamu zaidi kuhusu hii gari.
Naomba wazee wa suggestions msianze kujadili Discovery 3 maana ile siipendi ndio maana nimekuwa specific kuwa nataka Discovery 4 so please naomba wazee wa suggestions msianze kunichanganyia madawa taarifa za model tofauti na hii ya discovery 4.
Karibuni sana nawasubiria. View attachment 2608252View attachment 2608254View attachment 2608255View attachment 2608253
Thanks mkuu wangu. Ngoja nitumbukie nikaulize maswali yote hapo.Fungua hiyo link ya gari yako pendwa maelezo yote utayapata hapo . View attachment 2610820
Diesel nzuri tu kwa fuel consumption ila engine bomba ni petrolGari nzuri ina nguvu na utumiaji mzuri wa mafuta. Chukua yenye engine ya diesel ya 2700cc au 3000cc
Mnajua kutisha watu sanaNi gari nzuri ila bila kujali ni ya Petrol au Diesel, usinunue used iliyotembea zaidi ya Km 50,000/=.
Daha hata sijaona best siku hizi hii app ya jF sijui inamashetani.Mchukue mnyama huyo hutajutaView attachment 2611288
wengi wajuzi wa toyota😂Naona wadau hawafunguki full package details, wanamega taarifa nusu nusu kiuoga.
SawasawaGari nzuri ina nguvu na utumiaji mzuri wa mafuta. Chukua yenye engine ya diesel ya 2700cc au 3000cc
Hizi ni akili za kitoyota
Okay. Gharama zipo eneo gani sasa ufundi au eneo la manunuzi ya spare?!
Hapo South Africa si kuna kiwanda so i guess spare si zinapatikana kwa urahisi hapo South Africa?
Tumia web haina hii shidaDaha hata sijaona best siku hizi hii app ya jF sijui inamashetani.
Kwanza kumiliki hiyo gari inakuhitaji kuwa na kipato kuanzia milioni mia tano ila isipungue mia mbili huo mpunga upo?.Funguka kidogo. Napenda kuzifahamu pia. Ipi nzuri na inachangamoto gani kimatumizi. Na kama nikiipata kwa hapa Tanzania vipi maisha yatakuwa rahisi au itanitesa?!
Mnapenda kutisha watu aiseeKwanza kumiliki hiyo gari inakuhitaji kuwa na kipato kuanzia milioni mia tano ila isipungue mia mbili huo mpunga upo?.
Kwahio kila mwenye hii gari ana 500mil 😀Kwanza kumiliki hiyo gari inakuhitaji kuwa na kipato kuanzia milioni mia tano ila isipungue mia mbili huo mpunga upo?.