mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,170
- 1,708
Kama vipi unafungu engine ya cruizer utaenjoy ila umpate fundi mzuri japo sasa gharama itaongezeka
Nimeona kwenye mitandao watu wanazitia engine ya 1KZ ya TOYOTA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vipi unafungu engine ya cruizer utaenjoy ila umpate fundi mzuri japo sasa gharama itaongezeka
Sure kuna video inatembea kwenye watsapp bongo wakipatikana mafundi wengi wa kuswap engines basi wengi watazimiliki magari ambayo sio toyotaNimeona kwenye mitandao watu wanazitia engine ya 1KZ ya TOYOTA
Na hii 1HZ inaweza ingia kwenye discovery?Ukiachana na 1HZ (NA), sidhani kama kuna modern turbo charged land cruiser engine ambayo ni nafuu kufanya maintainance.
Compare same parts, similar models Toyota Vs Land rover family.
Na hii 1HZ inaweza ingia kwenye discovery?