Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,475
- 5,290
Sijatisha mtu very nimeandika from personal experience. Ni ushauri tu.Mnajua kutisha watu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijatisha mtu very nimeandika from personal experience. Ni ushauri tu.Mnajua kutisha watu sana
Kwasababu ni reliableFortuner is expensive compared to discovery. Almost twice a price
Bei zinaanzia 25million, bei inategemea mwaka,aina ya engine na milleage na condition ya gariBei zinaendaje kabla ya Kodi SA, DISCO 4 au kama za Lukosi?
The type of testimonies people need to justify their decisions.Kuna mwamba mmoja alichukua hii dungu ikaja ikamsumbua kaweka ofisini kwake inaoza hakuna anaeitaka hata kwa screpa
Hii bei yake sio chini ya 100m wakati hiyo disco ni kwenye 60m.Sjafanya price comparison- ningekuwa na hio pesa estimate ninge i substitue kwa toyota fortuner- mara nyingi huwasimshauri mtu achukue europian car kama gari yake ya kwanza / au kuichukua wakati kavunja kibubu chake chote.. au akaenda kununua ya bei rahisi/ ya mkononi. View attachment 2611300
Mkuu achana na za Uingereza, njoo tukuagizie kutoka South Africa. Gari inakuja kwa kutembea zaidi ya 3400km na hakuna breakdown wala check engineNilipanga kununua hili dungu kwa Lukosi,ila fundi mmoja akaanikatisha tamaa sana
baba dont. tafadhali sana ndugu sikufahamu ila nakushauri dnt.Nilipanga kununua hili dungu kwa Lukosi,ila fundi mmoja akaanikatisha tamaa sana
Mafundi ndivyo walivyo hasa kama hiyo hana maslahi nayoNilipanga kununua hili dungu kwa Lukosi,ila fundi mmoja akaanikatisha tamaa sana
Hakuna Mtanzania mwenye UBAVU wa ZERO KilomitaNi gari nzuri ila bila kujali ni ya Petrol au Diesel, usinunue used iliyotembea zaidi ya Km 50,000.
Wapo mkuu sema ni wachache, mbona Land Cruiser watu wananunua Zero Km pale Toyota kila siku.Hakuna Mtanzania mwenye UBAVU wa ZERO Kilomita
South Africa unachukulia kampuni gani?Karibu sana mkuu, kama ukihitaji ya kutoka South Africa karibu tufanye biashara
Webuy,Auto trader na kwa dealers wengine wanao deal ma gari husika na kwenye minada ya magariSouth Africa unachukulia kampuni gani?
Autotader naona Bei zao za kulangua. Naenda j3 kununua RAV4 nimeona webuycars ipo branch Yao inaitwa MidstreamWebuy,Auto trader na kwa dealers wengine wanao deal ma gari husika na kwenye minada ya magari
Uzuri alikuambia ukweliNilipanga kununua hili dungu kwa Lukosi,ila fundi mmoja akaanikatisha tamaa sana