Nani anaifahamu vema gari hii DISCOVERY 4. Naomba mnipe details

Kama vipi unafungu engine ya cruizer utaenjoy ila umpate fundi mzuri japo sasa gharama itaongezeka

Nimeona kwenye mitandao watu wanazitia engine ya 1KZ ya TOYOTA
 
Nimeona kwenye mitandao watu wanazitia engine ya 1KZ ya TOYOTA
Sure kuna video inatembea kwenye watsapp bongo wakipatikana mafundi wengi wa kuswap engines basi wengi watazimiliki magari ambayo sio toyota
 
Ukiachana na 1HZ (NA), sidhani kama kuna modern turbo charged land cruiser engine ambayo ni nafuu kufanya maintainance.

Compare same parts, similar models Toyota Vs Land rover family.
Na hii 1HZ inaweza ingia kwenye discovery?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…