mi_mdau JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 1,170 Reaction score 1,708 Aug 5, 2023 #121 salari said: Kama vipi unafungu engine ya cruizer utaenjoy ila umpate fundi mzuri japo sasa gharama itaongezeka Click to expand... Nimeona kwenye mitandao watu wanazitia engine ya 1KZ ya TOYOTA
salari said: Kama vipi unafungu engine ya cruizer utaenjoy ila umpate fundi mzuri japo sasa gharama itaongezeka Click to expand... Nimeona kwenye mitandao watu wanazitia engine ya 1KZ ya TOYOTA
S salari JF-Expert Member Joined Jan 22, 2013 Posts 3,045 Reaction score 5,397 Aug 5, 2023 #122 mi_mdau said: Nimeona kwenye mitandao watu wanazitia engine ya 1KZ ya TOYOTA Click to expand... Sure kuna video inatembea kwenye watsapp bongo wakipatikana mafundi wengi wa kuswap engines basi wengi watazimiliki magari ambayo sio toyota
mi_mdau said: Nimeona kwenye mitandao watu wanazitia engine ya 1KZ ya TOYOTA Click to expand... Sure kuna video inatembea kwenye watsapp bongo wakipatikana mafundi wengi wa kuswap engines basi wengi watazimiliki magari ambayo sio toyota
S salari JF-Expert Member Joined Jan 22, 2013 Posts 3,045 Reaction score 5,397 Aug 5, 2023 #123 deedee said: Ukiachana na 1HZ (NA), sidhani kama kuna modern turbo charged land cruiser engine ambayo ni nafuu kufanya maintainance. Compare same parts, similar models Toyota Vs Land rover family. Click to expand... Na hii 1HZ inaweza ingia kwenye discovery?
deedee said: Ukiachana na 1HZ (NA), sidhani kama kuna modern turbo charged land cruiser engine ambayo ni nafuu kufanya maintainance. Compare same parts, similar models Toyota Vs Land rover family. Click to expand... Na hii 1HZ inaweza ingia kwenye discovery?
deedee JF-Expert Member Joined Sep 19, 2010 Posts 257 Reaction score 417 Aug 5, 2023 #124 salari said: Na hii 1HZ inaweza ingia kwenye discovery? Click to expand... Ngoja wataalamu waje