Tunakubaliana 100% - sasa swali, matatizo yamekujaje ? Je kuna uwezekano yalipandwa, yakamwagiliwa, yakawekewa mbolea, yakalindwa yasiliwe na ndege, yakakua, yakavunwa kwa wingi na sasa yamehifadhiwa kwenye maghala yanayolindwa usiku na mchana ?
Tunakubaliana 100% - sasa swali, matatizo yamekujaje ? soma hapo juu. Tulipanda tukavuna.
Tunakubaliana 50% - sasa swali, mtoto anayezaliwa je, tayari ana matatizo? Kama anayo bila shaka kayarithi.
Tusidanganyane, kama wote tunakubaliana kuwa tuna tatizo (ugonjwa) dawa ni kuutibu ugonjwa. Kwa kuwa kuna wanaofaidika na hali hii sasa ni wakati muafaka wa kuwakataa na haya maghala ni lazima yachomwe moto. Kwa kuwa maghala yanalindwa usiku na mchana, hawa walinzi wa maghala haya ya kifisadi lazima tuanze nao kwa kuwachoma moto.
- CCM haina uongozi bora kama wa Mbowe na Chadema.
- CCM haina uongozi bora kama wa Mrema na TLP.
- CCM haina uongozi bora kama wa Mbatia na NCCR.
- CCM haina uongozi bora kama wa Lipumba na CUF.
- CCM haina uongozi bora kama wa Cheyo na UDP.
- Smart politics demands kwamba tuwape wananchi choices, tuwape wananchi alternatives badala ya kuwaondolea the little hope they have in CCM bila ya kuwapa replacement, otherwise tunakua wachonganishi tu na kujaribu kuwagombanisha wananchi na viongozi wao waliowachagua wenyewe bila ya kulazimishwa na bunduki.
- Sasa what are the motives za hawa wanaojaribu kutuchonganisha na serikali yetu? ambao wanatumabia kwamba hatuna uongozi mzuri lakini hawatupi alternatives? Maana yake ni kwamba wao ndio wenye akili sana, na wao ndio wanaofaa kutuongoza, is that so?
- CCM tunao viongozi wabovu na wazuri, tunawajua viongozi wengi wazuri wa zamani na wa sasa, mimi ni mkazi wa kijiji cha Kinyerezi, nimezungukwa na high profiles politicains wa zamani na wa sasa ninawaona waliokuwa wazuri na wabovu kwa sababu you can tell kutokana na life style zao, mmoja wa majirani zangu wa karibu sana ni Mzee Apiyo na Mahita, you can tell kwamba Mzee apiyo alikuwa ni kiongozi safi, masikini ya Mungu hana kitu kabisaa, lakini ninawangalia majirani zangu wengine kama Mahita.
- Tunawajua wananchi wengi waliokataa kuwa wezi au kutumiwa na mafisadi, pamoja na juhudi zote za kujaribu kumshawishi kuiba na wezi wa Richimonduli, Jamaa yangu Mkulu Wangu Chidou pale Sheria alikataa kata kata na kubaki na umasikini wake, sasa hatuwezi kuwatukana viongozi wetu wote kwa sababu ya wezi wachache, na hatuwezi kuwatukana wananchi wote kwa sababu kuna wachache bado wasafi, Chidou na Apiyo wanawawakilisha wananchi na viongozi wetu wengi wasafi, dawa ni kuwaondoa hao wachache wachafu, lakini sio kututukana wananchi wote kua hatufai na viongozi wetu, hapana dawa ni kusaidiana kuliokoa taifa letu.
- CCM tuna matatizo ni kweli, kama vyama vingine vyote Tanzania vilivyo na matatizo, sasa hawa mabingwa wa akili basi angalau wangejiunga na chama kimoja cha siasa watuonyeshe maana ya uongozi bora, ambao wanakubali kwamba vyama vyetu vyote Tanzania hazvina.
Wananchi wa Tanzania tunahitaji kuwa macho sana na hawa wachonganishi, wasiokuwa na majawabu ya matatizo yetu, kwa sababu wangekua nayo basi wangejiunga na chama kimojawapo, au wangeanzsiha chama chao kipya cha kutuokoa taifa na matatizo yetu.
Kwenye Halaiki tuliwahi kuimba wimbo mmoja unaoenda like:
"....na mtu asiyejua kufa, mwambieni aone kaburi wananchi tulinde taifa wakoloni wasije kurudi Tanzaniaaaaaa...."
Respect!
Wazee wa sauti ya umeme FMES!