Wengi tunasikia nakuona mengi katika giza na nuru lakini ni nani ajuaye nyakati Taifa linapita. Wengi hatujuwi ila wakati ni darasa. Huenda kukawa na nyakati ngumu katika Utawala wa sasa na hii nikutokana na kiti kutamani kukaa kwenye kiti
Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha. Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.
Mungu likumbuke Taifa letu TZ.
Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha. Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.
Mungu likumbuke Taifa letu TZ.