Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
ππππππNimecheka kwa nguvu, nilidhani mwanamuziki mkongwe Auruls Mabele kaingia studio, maana ile mwasi kitoko uliyopiga sio ya mchezo bro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππNimecheka kwa nguvu, nilidhani mwanamuziki mkongwe Auruls Mabele kaingia studio, maana ile mwasi kitoko uliyopiga sio ya mchezo bro.
kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama
mtateseka sana. Kama mnaona hamridhiki hamieni somalia.Wengi tunasikia nakuona mengi katika giza na nuru lakini ni nani ajuaye nyakati Taifa linapita. Wengi hatujuwi ila wakati ni darasa. Huenda kukawa na nyakati ngumu katika Utawala wa sasa na hii nikutokana na kiti kutamani kukaa kwenye kiti
Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha. Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.
Mungu likumbuke Taifa letu TZ.
Huyo jamaa ni mpuuziTena kwa sasa itakuwa busara zaidi kama utafunga hilo domo lako na kuacha watu wailetee Tanzania maendeleo ya kweli.
Maendeleo yasiyo na gharama za damu za wengine.
Tunaweza kuendelea bila kuumizana. Please take note.
Kiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
Kakatizwa au alikatika kwa ujinga wake?Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
P soma iyo baba....Kiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
Unaandikaga unachokijua tatizo watu Huwa hawakueliwi,ngoja muda utatupa majibuP soma iyo baba....
Baya linalokuja si kwa Tanzania tu mkuu,ni kwa dunia nzima.Tunakwenda kushuhudia vifo ambavyo hatujawahi kushuhudia duniani:2/3 ya wanadamu watakufa,dunia itakuwa na dini moja ya kishetani,curreny moja,serikali moja na makao makuu yake yatakuwa Abu Dhabi,UAE.Serikali hii itatekeleza unyama kwa wanadamu kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa na wanadamu.Hayo ndiyo yanayokuja mkuu,tujiandae.Sitishi watu,ila huo ndio ukweli.Wengi tunasikia nakuona mengi katika giza na nuru lakini ni nani ajuaye nyakati Taifa linapita. Wengi hatujuwi ila wakati ni darasa. Huenda kukawa na nyakati ngumu katika Utawala wa sasa na hii nikutokana na kiti kutamani kukaa kwenye kiti
Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha. Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.
Mungu likumbuke Taifa letu TZ.
Nimeona...so ?!P soma iyo baba....
"Akakatizwa njiani" Nani alimkatiza njiani?Kiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
Wenye kiti chao wametangaza mama Hatogombea kiti 2025!kalifungia gazeti linalotaka kumnyima ugali 2025!!Hivyo atagombea 2025!!je wenye chama watakubali???!!!Ngoja tuone!!!Nimeona...so ?!
P
Wengi tunasikia nakuona mengi katika giza na nuru lakini ni nani ajuaye nyakati Taifa linapita. Wengi hatujuwi ila wakati ni darasa. Huenda kukawa na nyakati ngumu katika Utawala wa sasa na hii nikutokana na kiti kutamani kukaa kwenye kiti
Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha. Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.
Mungu likumbuke Taifa letu TZ.
Aliyemleta."Akakatizwa njiani" Nani alimkatiza njiani?
Duuu [emoji119][emoji119] Mbona yule alisema jamaa ni jembe lake kweli kweli?? Halafu yule jamaa wa kusini mbona kakaa kimya sana, Niguse unuke?Aliyemleta.
P
lile la mdimu, its a done deal, kwisha habari yake, sasa ni heshima na adabu kwa Mama.Duuu
Mbona yule alisema jamaa ni jembe lake kweli kweli?? Halafu yule jamaa wa kusini mbona kakaa kimya sana, Niguse unuke?![]()