ππ Pasco ukikosa teuzi kwenye Utawala huu naoga uchi mimi.Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
Ila Pasco ni Bonge la Mnafiq.Kiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
Kweli siasa konyo! We Paskali ndio wa kusema haya sasa hivi?Kiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
Pole na hongera sana unamtusi mwendazake unafiki na kujikomba vyote ni dawa ya kufanikiwa. Utakumbukwa sanaKiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
"Mayala ki kwetu ni njaa" dereva alipokutana na na hilo tuta hakukanyaga hata break kidogo, lazima tuta limuite rough rider. Hahahaahaahahaaa! Mwendazake alikujibu jibu mubashara sana.Kiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
Maisha haya π€£π€£π€£ yaan kuna kipind mwanadam huishi kwa kuangalia upepo unaendaje na sio kuangalia.. is she/ he doing right for the nation. Yaan kusimamia reality even if una njaa ni ngumu sana kwa wabongo.Kiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
Duh...!. Unajua sisi watu wa pande zile ni washamba sana, suruali ya mayenu ndio suruali gani?.Mmmh hamna kitu hapa. Ila hongera kwa kuvaa suruali ya mayenu jana star tv kwenye kipindi cha jicho letu ndani ya habari.
Nimecheka kwa nguvu, nilidhani mwanamuziki mkongwe Auruls Mabele kaingia studio, maana ile mwasi kitoko uliyopiga sio ya mchezo bro.Duh...!. Unajua sisi watu wa pande zile ni washamba sana, suruali ya mayenu ndio suruali gani?.
P.
Amini usiamini, nimejivalia tuu, hivyo kama nilitokelezea ki Auruls Mabele, kumbe kama bado naweza kutokelezea, then, pia naweza kuendelea kuwatokelezea!.Nimecheka kwa nguvu, nilidhani mwanamuziki mkongwe Auruls Mabele kaingia studio, maana ile mwasi kitoko uliyopiga sio ya mchezo bro.
Shikilia hapo hapo bro. Ulidamshi sana, japo siku hizi ni nadra kukusikiliza unachoongea baada ya kujua ww ni bendera fuata upepo.Amini usiamini, nimejivalia tuu, hivyo kama nilitokelezea ki Auruls Mabele, kumbe kama bado naweza kutokelezea, then, pia naweza kuendelea kuwatokelezea!.
P
leo nimekuelewaKiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
Siwezi kulazimisha watu wasikilize ninachosema, wajibu wa media, ni kusema tuu, hivyo kwa mimi kusema nilichosema, nimetimiza wajibu wangu kikamilifu.Shikilia hapo hapo bro. Ulidamshi sana, japo siku hizi ni nadra kukusikiliza unachoongea baada ya kujua ww ni bendera fuata upepo.
Ni kweli na sijakuzuia, na wiki ijayo jitahidi uwepo bro utimize wajibu wako kikamilifu.Siwezi kulazimisha watu wasikilize ninachosema, wajibu wa media, ni kusema tuu, hivyo kwa mimi kusema nilichosema, nimetimiza wajibu wangu kikamilifu.
Mie nakosa Raha ni kama MTU ambae amewahi kutoa roho za watu wasio na hatia. Ndio maana ni MTU WA kujishtukia shtukia.Nikiona hii id najikuta naogopa....
Tena oga kwenye sanamu ya Askari. Mchana saa 8.ππ Pasco ukikosa teuzi kwenye Utawala huu naoga uchi mimi.
Yani mi huwa napata uoga sanaMie nakosa Raha ni kama MTU ambae amewahi kutoa roho za watu wasio na hatia. Ndio maana ni MTU WA kujishtukia shtukia.
Safiii....Kiti cha mtu, ni kile kiti cha nyumbani kwako,kiti cha baba, siku haupo, anakikalia mama, lakini kiti cha basi, hakina mwenyewe, anaposhuka mmoja, anakaa mwingine.
Ni sawa na kiti cha dereva, ajira ya dereva ni kuendesha tuu gari, hivyo anakalia kiti kuendesha gari, akifika salama, kama ni dereva mzuri, ataendelea kukalia kiti cha dereva na kuendelea kuendesha. Kama ni dereva mbaya, mwenye gari atamtaka kukabidhi funguo atafutwe dereva mwingine.
Thanks God Tanzania tulikuwa na dereva bingwa ila very rough rider, akakatizwa njiani, kwa sasa tumepata dereva ajuaye, very gentle, very sure, makini, mwenye jicho la kuona mbali, gari letu lenda mbio, na tutafika salama, na huu mwendo ni mwendo mdundo hadi 2030!
P
Nyakati mchanganyiko, bado hatujapata exactly ni nyakati ipi, nhoja tujipe mudaWengi tunasikia nakuona mengi katika giza na nuru lakini ni nani ajuaye nyakati Taifa linapita. Wengi hatujuwi ila wakati ni darasa. Huenda kukawa na nyakati ngumu katika Utawala wa sasa na hii nikutokana na kiti kutamani kukaa kwenye kiti
Sasa hili limezuwa sintofahamu hasa ikizingatiwa unapokaa kwenye kiti kutokana na Mwenyekiti kudondoka hupaswi kukiatamia kiti ila kuendesha gari mpaka unapotakiwa kulifikisha nakuachia wenye gari either kukupa tena funguo au kukupumzisha. Sasa majani ya chai hayo yamekuwa majani ndani ya chai.
Mungu likumbuke Taifa letu TZ.
uchumi sio uume,kwamba unasimama sekunde mbili na kulala baada ya kuvuta hisia.Uchumi unakaribia kunyanyuka ndugu yangu, baada ya kudumazwa na yule jamaa wa Chato kwa miaka 5!