Nani anajua Taifa linapita nyakati gani kwa sasa?

πŸ˜‚πŸ˜‚ Pasco ukikosa teuzi kwenye Utawala huu naoga uchi mimi.
 
Ila Pasco ni Bonge la Mnafiq.
Wewe kweli wa kuandika haya ???
Pasco ikafika Mahala kabisa ukawa una wish Bashite ndio awe Mrithi wa Jiwe.
Yaani tayari ushaji Switch kwa Bi Mkubwa
 
Kweli siasa konyo! We Paskali ndio wa kusema haya sasa hivi?
 
Pole na hongera sana unamtusi mwendazake unafiki na kujikomba vyote ni dawa ya kufanikiwa. Utakumbukwa sana
 
"Mayala ki kwetu ni njaa" dereva alipokutana na na hilo tuta hakukanyaga hata break kidogo, lazima tuta limuite rough rider. Hahahaahaahahaaa! Mwendazake alikujibu jibu mubashara sana.

Kuna muhimili umejichimbia chini zaidi na ndio maana kuna msemaji wa serikali na kuna msemaji wa ikulu, hakuna msemaji wa spika wala jaji mkuu...

Labda dereva huyu ndio anaweza kukupa angalau hata upiga debe kituo kimojawapo katikati ya safari.
 
Tumaiel vipi mbona unaandika kwa code .lakini wewe jamaa unayajua mengi Sana yaliyo silini.sisi ni watazamaji tu.
 
Maisha haya 🀣🀣🀣 yaan kuna kipind mwanadam huishi kwa kuangalia upepo unaendaje na sio kuangalia.. is she/ he doing right for the nation. Yaan kusimamia reality even if una njaa ni ngumu sana kwa wabongo.
 
Mmmh hamna kitu hapa. Ila hongera kwa kuvaa suruali ya mayenu jana star tv kwenye kipindi cha jicho letu ndani ya habari.
Duh...!. Unajua sisi watu wa pande zile ni washamba sana, suruali ya mayenu ndio suruali gani?.
P.
 
Nimecheka kwa nguvu, nilidhani mwanamuziki mkongwe Auruls Mabele kaingia studio, maana ile mwasi kitoko uliyopiga sio ya mchezo bro.
Amini usiamini, nimejivalia tuu, hivyo kama nilitokelezea ki Auruls Mabele, kumbe kama bado naweza kutokelezea, then, pia naweza kuendelea kuwatokelezea!.
P
 
Amini usiamini, nimejivalia tuu, hivyo kama nilitokelezea ki Auruls Mabele, kumbe kama bado naweza kutokelezea, then, pia naweza kuendelea kuwatokelezea!.
P
Shikilia hapo hapo bro. Ulidamshi sana, japo siku hizi ni nadra kukusikiliza unachoongea baada ya kujua ww ni bendera fuata upepo.
 
leo nimekuelewa
 
Siwezi kulazimisha watu wasikilize ninachosema, wajibu wa media, ni kusema tuu, hivyo kwa mimi kusema nilichosema, nimetimiza wajibu wangu kikamilifu.
Ni kweli na sijakuzuia, na wiki ijayo jitahidi uwepo bro utimize wajibu wako kikamilifu.
 
Safiii....
 
Nyakati mchanganyiko, bado hatujapata exactly ni nyakati ipi, nhoja tujipe muda
 
Uchumi unakaribia kunyanyuka ndugu yangu, baada ya kudumazwa na yule jamaa wa Chato kwa miaka 5!
uchumi sio uume,kwamba unasimama sekunde mbili na kulala baada ya kuvuta hisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…