Endelea kuzichimbia hizo viparu zakoooTena mwambie kabisa ni dhambi kule kwetu kumpa mwanamke heleri afu akawape michepuko yake.
Tena mfahamishe kuwa mangi na pesa ni sawa na mpare na makande
Nimemaliza
Unapenda pesa yake tuNampenda ONTARIO ... (sio kimapenzi). Nahisi ni mwanaume anayejitambua pia mtafutaji.
Hahahaahahaaa...Huo ni uchochezi sasa...
Hebu mkojo wako upimwe haraka
Hatukuja mjini Kushangaa Daraja la Kigamboni...Tena mwambie kabisa ni dhambi kule kwetu kumpa mwanamke heleri afu akawape michepuko yake.
Tena mfahamishe kuwa mangi na pesa ni sawa na mpare na makande
Nimemaliza
[emoji23] [emoji23] [emoji23]mbn umesahau kujitaja na ww
sent from aifoni seveni plasi
Huo ujomba veepeShikamoo mjomba...
ww wa mujini, tena sijui mnyakiKakuambia nani mie wa mjini... Unajua kisomboko wewe????
Hahaahahaa... kunywa mwaya maisha ndo haya hayahahahahhah! ngj niagize smirnof mie.....
SawaBasi usinijaribu kwa maana mi sijaribiwi
Not tu zet eksitent
Tumekuja kukaa jirani na wizara ya fedha na benki kuu. Ili tuangalie namna ya kuchenjua makinikiaHatukuja mjini Kushangaa Daraja la Kigamboni...
Sent From Ikulu-Magogoni street
Acha wivu basi. Si umetuuliza? Tunakujibu unatuzodoa
Nitaendelea kukusisitiza, acha mambo ya kitoto, mambo ya kishamba.
Endelea kuazimisha siku ya balimi.... Maana sio kwa cheko hiloHahahaahahaaa...
Mie wachaga wote wa kiume wajomba zangu maana siwezi kuwala.. angekua mkurya nikimuita mjomba mulika mwizi.Huo ujomba veepe
HeheeeHatukuja mjini Kushangaa Daraja la Kigamboni...
Sent From Ikulu-Magogoni street
Ndio maana Pogba anatuogopa kama ukoma, tukipata pasi lazima goli.Tumekuja kukaa jirani na wizara ya fedha na benki kuu. Ili tuangalie namna ya kuchenjua makinikia