DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
VenossahLemburula mtoe hapo anaharibu post.
Halaf utafit wako haujakamilika mkuu kuna sukari za warembo umewaacha hapo.
Nimetoa nafasi watu ka we mjalizie
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VenossahLemburula mtoe hapo anaharibu post.
Halaf utafit wako haujakamilika mkuu kuna sukari za warembo umewaacha hapo.
Hebu ngoja nisubiri jibu lakemwenzangu! kasema wanamhis msichana kwasa mzuri snaa ana shepu!!!!!!!!
si unaringaNipe basi
DogoHakunaga kama bf wangu
nb list iyo sio sahii yaan kimtazamo jf ina wanaume wazuuri wasomi balaa ila kuwatambua kwa comments zao ni ngum ila wengi wa maana wanafanana na comment zao
pili ukitaka kujua mtu yeye ni nani mfano ona hao wanaobandika mabango ya wachumba. Ukiona vigezo unaweza kujua huyu mtu ni nani.
Mwisho wanaume wa maana jf sio maarufu sana
Sijuwi unaongelea ukiwa gani mkuu labda nikufahamishe tu kwa hapa jf nishalamba wanawake 3 tayri ila sina habr nao kwa sisi mablayer hatuna time na kupendwa mi najuwa kula na kunawa tu
great thinker
Oooh usawa huu Wa magu? Geti lipo wazi ?Nikupe nini mamie unipende zaidi??
Kama unataka mpunga wa kusukuma weekend nicheki PM naona mwenzio kasusa anaonea pesa aibu enzi hii ya Magu.
Ontario Na mm nije basi unipe mpunga Wa weekend mleta UziNikupe nini mamie unipende zaidi??
Kama unataka mpunga wa kusukuma weekend nicheki PM naona mwenzio kasusa anaonea pesa aibu enzi hii ya Magu.
Teh teh limefungwaaa usiende. AmeshalalaOooh usawa huu Wa magu? Geti lipo wazi ?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Kushobokewa na mtoto wa Obama kunamtosha..
Haha alafu na yeye anataka kupendwa!!.. Ukitaka kula na kipofu usimshike mkono nadhani alijui hilo.kuna mtu mmoja anapenda kudiss wanawake hatari yaan katili korofi silipendi kweli kwel!
Ha ha haaaaa so mwanaume unayempenda jf ni ONTARIO ? Jibu kwanza hili swali.Ontario Na mm nije basi unipe mpunga Wa weekend mleta Uzi
Au offer ya wadada tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Nawe mtaje sukari ako
Duh nimeshangaa!!hahahahahahahahhahah balaa hili!mwanaume KITONGA