Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulichoongea kama kina ukweli kabisa aisee, kama huyo nilomtaja sio maarufu na inaonekana ni booonge la MWANAUME.
Kumbe hujasikia jamani. Daah.
Ngoja basi nikirudi[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ha haha wewe milioni unakamia mbunye hivyo ukitoa tatu na zaidi si utaua .. ote mbe
Yeah hata huyo ONTARIO pia yuko vizuri, niliwahi mkuta akiongelea masuala ya biashara na kilimo yuko poa kwakweli. Nikakutana na comment zake pia MMU aisee through that unaona tu kuwa jamaa yuko vizuri kichwani na ana busara pia.wanaibukaga kwa nadra kias!
KweliHuuu uzi hakuna cha maana mnacho jadili tofauti na kutupiga majungu sisi ma HB..
Kama mnapenda sura ngumu mbona Gudume mnamkwepaa
Msiwe ka padri Fulani humuHaaha tunaheshimiana sana na Eli79 baada ya kujua ni mwokovu wenzangu! nyenzo ni zile zile 2(bible,songs book)
Sijuwi unaongelea ukiwa gani mkuu labda nikufahamishe tu kwa hapa jf nishalamba wanawake 3 tayri ila sina habr nao kwa sisi mablayer hatuna time na kupendwa mi najuwa kula na kunawa tu
Mcharo
Mkuu una book unacopy hizi smsNo worries love... I can handle you the way you are...i love you the best...
ngoja nikasome tena! huenda sikukuelewa!
Hasa wakati wanavumbua chumvi ykzito chache ...mie napenda ndevu haswa jaman! mfano wa hashim Rungwe! Yaaan nadata jaman! afu ziwe zinachoma choma !au joh makini! nashukuru Mungu hubby anazo..ile kuchoma choma mie yalaaah!
Ina maana una bonge la shepu na sura nzuri? Kuna comment yako sijaielewa
Ina maana una bonge la shepu na sura nzuri? Kuna comment yako sijaielewa