mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Kumbe muoga!!!mmh imgenitokea puani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe muoga!!!mmh imgenitokea puani
Duh tupo tofauti aisee. Kila la heri ha haaazito chache ...mie napenda ndevu haswa jaman! mfano wa hashim Rungwe! Yaaan nadata jaman! afu ziwe zinachoma choma !au joh makini! nashukuru Mungu hubby anazo..ile kuchoma choma mie yalaaah!
Wanyumbani NakuonaMtoa mada hapo kwa Smart911 nabadili kauli... yule wanaecc-ana nae alisemaga boo wake huwa anatongozwa pm na wadada fulani
Honga mghoshi?Wanyumbani Nakuona
Hahahaaaaa!!! Sawa nitakuita.Ukimuona niite basi
Kuzachwa... Onga na iweHonga mghoshi?
Ntana du..Kuzachwa... Onga na iwe
Ambu wateia kishambaa?Ntana du..
Hahahaaaaaa!!!
Usiniambie kawahiwa!! Atakuwa ana bahati sana huyo alomuwahi.
Hakunaga kama bf wangu
nb list iyo sio sahii yaan kimtazamo jf ina wanaume wazuuri wasomi balaa ila kuwatambua kwa comments zao ni ngum ila wengi wa maana wanafanana na comment zao
pili ukitaka kujua mtu yeye ni nani mfano ona hao wanaobandika mabango ya wachumba. Ukiona vigezo unaweza kujua huyu mtu ni nani.
Mwisho wanaume wa maana jf sio maarufu sana
Hebu nitajie sukari ya warembo mmoja..Lemburula mtoe hapo anaharibu post.
Halaf utafit wako haujakamilika mkuu kuna sukari za warembo umewaacha hapo.