Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

nyie ndo vivulana tunaowaongelea!nahakika iko siku utawataja majina kbs humu! pole zao uliolala nao kwakwel!jitahid ukue
Nadhani hujuwi kwanini nimeandika hivyo kuna mtu alinijaribu nikapiga

great thinker
 
Nikiona umechukia sana... Nakubeba nakupeleka kuleee... Ukitoka hapo unacheka tu na kutabasamu unasahau kama ulikuwa na hasira...


It's just have been busy today...
Pole na majukumu mfalme wangu jamani I wish nikujege ofisini kwako kukusaidia ila ndoivo it will make things even worse make.. Make make mhmmhmhmhmh itakua kama ileee siku ya LOVED ONES mweh!


Mahondaw wa Smart911
 
Mwanamme mzuri na anayevutia wanawake siku zote ni dushe lililoshiba, si zaidi ya hapo.


ah wapi!umeona wanawake tulivyo na hisia zaid eh!sie hatuangalii avatar kama nyie!sie hata unavyocomment ni kipimo tosha kuwa unaweza ng'oa MZIGO!...mimi mwanaume anaeandika andika kila sku 'mashine,DUSHE,' mara aongelee kibamia things uwiii asinifate hata PM !Sitak hata salaam zao! wanachefua!

hamjuag tu...ukitaka umuwin mwanamke anzia mbaliiii! kadr mnavyoendelea kuchat unaona kbs kila mtu anamhitaj mwenzake! sasa ww endelea kutupigia mitarumbeta ya mwanaume MACHINE,DUSHE! utang'oa wa design yako
 
Pole na majukumu mfalme wangu jamani I wish nikujege ofisini kwako kukusaidia ila ndoivo it will make things even worse make.. Make make mhmmhmhmhmh itakua kama ileee siku ya LOVED ONES mweh!


Mahondaw wa Smart911
Hahaha... Bado hujasahau tu love...
 
Ontario Na mm nije basi unipe mpunga Wa weekend mleta Uzi
Au offer ya wadada tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba thanks for the love, lkn wanaume are made to hustle, let's keep it real. Niliplan kutoa laki kwa bi'shosti Demi, naona kaleta maringo mwenzie Agata kaja kuovertake. So it's fair wote wanapata 50 - 50 lkn na wewe ukitaka kutelezea ganda la ndizi tunaweza pia kuigawa hiyo laki ikawa 35 - 35 [emoji23]
 
Mzee baba thanks for the love, lkn wanaume are made to hustle, let's keep it real. Niliplan kutoa laki kwa bi'shosti Demi, naona kaleta maringo mwenzie Agata kaja kuovertake. So it's fair wote wanapata 50 - 50 lkn na wewe ukitaka kutelezea ganda la ndizi tunaweza pia kuigawa hiyo laki ikawa 35 - 35 [emoji23]
Sawa aisee hela haikataliwi nitahastle mbinguni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tang
Pole na majukumu mfalme wangu jamani I wish nikujege ofisini kwako kukusaidia ila ndoivo it will make things even worse make.. Make make mhmmhmhmhmh itakua kama ileee siku ya LOVED ONES mweh!


Mahondaw wa Smart911



samahani mdogo wangu! kwann mnapenda kujiexpose namna hyo hapa barazani!kwann msiend pm kukumbushiana

mautaam yenu pm! hv ni USHAMBA AU UTOTO AU ULIMBUKENI! mtakuwa lini jaman! hv kila mtu aanze kuelezea

alivyokunwa humu mara ukumbukie unavyosuguliwa uyaanike hapa hv huon kama kuna wanawake wengn wanaweza

kukuibia! sasa ww shoga yangu ukiolewa si ndo utahadithia staff nzima unavyosuguliwa jaman! binafsi mie kama MBITI

sipend wala sikuonei wivu kbs my dear najitahd kukuweka sawa siku usipoishi nae huyu nahakika utakuja na ID

nyingine!kama umenielewa nashukuru kama hujanielewa ruksa kuninyali
 
Back
Top Bottom