Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

tang




samahani mdogo wangu! kwann mnapenda kujiexpose namna hyo hapa barazani!kwann msiend pm kukumbushiana

mautaam yenu pm! hv ni USHAMBA AU UTOTO AU ULIMBUKENI! mtakuwa lini jaman! hv kila mtu aanze kuelezea

alivyokunwa humu mara ukumbukie unavyosuguliwa uyaanike hapa hv huon kama kuna wanawake wengn wanaweza

kukuibia! sasa ww shoga yangu ukiolewa si ndo utahadithia staff nzima unavyosuguliwa jaman! binafsi mie kama MBITI

sipend wala sikuonei wivu kbs my dear najitahd kukuweka sawa siku usipoishi nae huyu nahakika utakuja na ID

nyingine!kama umenielewa nashukuru kama hujanielewa ruksa kuninyali
Hakika, Hujanitumia mimi huu ujumbe ila nimekuelewa sana.


Wabillah Tawfiq,
 
Back
Top Bottom