Kwahiyo ndio hautoi maelezo?
Umeona eeeeh! Nilimquote nikajikuta kila ninachoandika nafuta, mwisho nikaishia kumpongeza tu.Kwa kweli, maana unaweza jikuta unajibu halafu dunia ikushangae umesema nini...lol
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika, Hujanitumia mimi huu ujumbe ila nimekuelewa sana.tang
samahani mdogo wangu! kwann mnapenda kujiexpose namna hyo hapa barazani!kwann msiend pm kukumbushiana
mautaam yenu pm! hv ni USHAMBA AU UTOTO AU ULIMBUKENI! mtakuwa lini jaman! hv kila mtu aanze kuelezea
alivyokunwa humu mara ukumbukie unavyosuguliwa uyaanike hapa hv huon kama kuna wanawake wengn wanaweza
kukuibia! sasa ww shoga yangu ukiolewa si ndo utahadithia staff nzima unavyosuguliwa jaman! binafsi mie kama MBITI
sipend wala sikuonei wivu kbs my dear najitahd kukuweka sawa siku usipoishi nae huyu nahakika utakuja na ID
nyingine!kama umenielewa nashukuru kama hujanielewa ruksa kuninyali
Yaaaaaaaaaani!!
Hata mimi namsubiria mtu aje, so acha niendelee na maombi.
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Umeona eeeeh! Nilimquote nikajikuta kila ninachoandika nafuta, mwisho nikaishia kumpongeza tu.
Hakika, Hujanitumia mimi huu ujumbe ila nimekuelewa sana.
Wabillah Tawfiq,
Huyo atakuwa kisu cha ngalibaIn baadhi ya wanawake wa Jf na siyo wote, rekebisha uzi wako ninaempenda wala hapo hayupo
K me&u forever.......
....nakupendaaaaaa mnooo
Washa mshumaa maombi yanajibiwa harakaHata mimi namsubiria mtu aje, so acha niendelee na maombi.
Teh teh teeeeeh!!
Mbitiyaza majina ya kiafrika yananipa shidamuosha rungu umeaga lakini! alaafu mie naitwa MBITIYAZA!ukishindwa fupisha mbiti! sio mbatiliza
hahahahaha jaman nimechekaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! nywele itanyonyoka pia hahahahahahh! had colgate ntashindwa nunua !mwendo wa chumvi tu!heheheheheheheh !
Kama jamaa atachelewa sana nishtue nije nikaimuhahhaa !sijaenda kitandani bado ndo najibeba hapa!usk mwema
hahahahah hapo sasa! miaka yoteee wewe una machungu tu kisa mtu 1!baba watoto!lol