DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,336
Kawaida kwenu wengine hiyo kawaida hawajawahi pata washazoea mapenzi ya wanyama!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida kwenu wengine hiyo kawaida hawajawahi pata washazoea mapenzi ya wanyama!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kweli wewe ni muosha rungu, unataka kuwasikia wasuuza rungu
Awapi usiusemee moyo wa mtu ujueKawaida kwenu wengine hiyo kawaida hawajawahi pata washazoea mapenzi ya wanyama!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakusalimia rafiki.
Emmy unanisalimia mimi Au?Nakusalimia rafiki.
Miss u mingi mingi.
Nipo naye kuna kitu alikuwa ananipaNzuri sana mumy.
Hivi Clkey mbona ametuacha kwenye mataa sijui ya Morocco au ya Ubungo mana sio kwa ahadi ile.
Nakusalimia ndio ivuga. Habari za siku?Emmy unanisalimia mimi Au?
Ahaa huwa nawachanganya sana hawa wawili sijui kwanini.. Alisema June akishavuna leo August hii..Itakuwa hivyo ila hata kututaarifu lol
Hahaaa. Yashaharibika tayari mana sio kwa ahadi ile. Ni Mndali ndanyelakakomu
Nzuri sanaNakusalimia ndio ivuga. Habari za siku?
Akimaliza kukupa mwambie mi na Mahondaw tunamtafuta sana aje tu hata akitudanganya tutaamini.Nipo naye kuna kitu alikuwa ananipa
Itakuwa hivyo ila hata kututaarifu lolHahahaah labda ratiba hazikukaa vizuri hebu tumuulize Clkey mamy mbona hujaja???
Amekua kama mzeewakungoa mpaka waleo nahisi maparachichi yashaharibika
Nafurahi kusikia hivyo. Wasalimie wote.Nzuri sana
nipe tafsiriItakuwa hivyo ila hata kututaarifu lol
Hahaaa. Yashaharibika tayari mana sio kwa ahadi ile. Ni Mndali ndanyelakakomu
Ahaa huwa nawachanganya sana hawa wawili sijui kwanini.. Alisema June akishavuna leo August hii..Itakuwa hivyo ila hata kututaarifu lol
Hahaaa. Yashaharibika tayari mana sio kwa ahadi ile. Ni Mndali ndanyelakakomu