Smart na Maho ni jf couple of the year asee, inabidi jf founders wawafanyie jambo at the end of the year. You guys know how to flirt online, nikidhani najua kuflirt kumbe bado "amateur"!!Thank you mahondaw wangu for a good night and thank you for a good morning..
Mkuu ni jina la member wa humu jf.
Yaani sijui hata nisemeje, nilikuja lkn acha tu ,mamy simu ilipata majanga hadi sasa hivi sina simu ujue, niliangusha ikafariki kifo cha mende na nilkuwa safarini nkashindwa kuwatafuta im so sorry hnyNzuri sana mumy.
Hivi Clkey mbona ametuacha kwenye mataa sijui ya Morocco au ya Ubungo mana sio kwa ahadi ile.
Jamani pachaaNdio hivyo ishaanza. Pacha nmekusubiri weee mpaka nimekata tamaa.
Nilijua tu pacha ndio maana nilivyoona like yako moyo wangu ukashutuka. [emoji2] [emoji2]Yaani sijui hata nisemeje, nilikuja lkn acha tu ,mamy simu ilipata majanga hadi sasa hivi sina simu ujue, niliangusha ikafariki kifo cha mende na nilkuwa safarini nkashindwa kuwatafuta im so sorry hny
Rafiki unataka kuzua balaa humu. Unataka kushashumbuliwa rafiki jamani don't mention those names na mambo ya JF couple please please rafikiSmart na Maho ni jf couple of the year asee, inabidi jf founders wawafanyie jambo at the end of the year. You guys know how to flirt online, nikidhani najua kuflirt kumbe bado "amateur"!!
Hapo ndo nnapokupendeaga unawahi kusamehe, mie sijambo namshukuru Mungu sijui wwNilijua tu pacha ndio maana nilivyoona like yako moyo wangu ukashutuka. [emoji2] [emoji2]
Hakuna shida mumy usijali. Mzima lakini weye?
Nini sasa pacha wakati uliniweka na tamaa mwana kwenu.Jamani pachaa
Mkuu mkwezi Wa tanga akienda Mombasa anajifunza kukwea upya!Smart na Maho ni jf couple of the year asee, inabidi jf founders wawafanyie jambo at the end of the year. You guys know how to flirt online, nikidhani najua kuflirt kumbe bado "amateur"!!
Hahahahah unatoboa siri sasa na ww jamaniNipo naye kuna kitu alikuwa ananipa
Sasa hivi sitakwambia utaniona tuNini sasa pacha wakati uliniweka na tamaa mwana kwenu.
Ila umejitetea nimekuelewa pacha wangu. [emoji8]
Umeonaeee. Huwa nafurahi kwa kuwa na moyo kama wako pacha.Hapo ndo nnapokupendeaga unawahi kusamehe, mie sijambo namshukuru Mungu sijui ww
Usijali pacha nakuaminia.Sasa hivi sitakwambia utaniona tu
No Smart911 you give me more than what I do for you my king that's why I always say that am blessed to have you sweetheart.What i do for you is so little compare to what you give me... And that's love...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]