Ha ha ha ha eti popcorn. Leo ulishasema hutaki kuchamba mtu wamekuchokoza wenyeweYanaboa. Kwanza mtoa mada hajaongelea wapenzi. Kasema mtu anayekuvutia unatamani kuonana naye..yenyewe yanarukaruka tuu kama popcorn.
Mbona ana vinasaba vyote vya Us.hoga?Wanaume siku hizi wambea wanatushinda Dada zao. Siajabu ana Mchezo ya kupumuliwa so kila mmoja anadhani wa mapenzi wa jinsia moja
Timing hiyoMbona umeniwahi na list yangu?
Yaani wewe, haya tu acha nimwachie Mungu.Juzi niliona walitajwa wanaume wanaovutia jf,,hebu leo tajeni wanawake wanaovutia jf,,pia utaje na wanaokuvutia wewe unatamani hata kuonana nae ,,,mim sitotaja msije sema nimependelea nimeona niwaachie nyie wanaume maana ndio mnajua na kuna wengine humu mnaonana kabisa so we taja tu
Lets gooooooooo
dark angel wangu,achana nae huyo buana. Spoiler huyoMbona ana vinasaba vyote vya Us.hoga?
Huoni alivyolegea kama uji wa ngano? Anaandika kama vile amelewa gongo.
Hawezi kuja ameshaenda kukojoza mbupu msinyao kalala sasa hiviHapo sasa...maneno ya kawaida kabisa yamemtia mihemko .
Mzee baba,pambana na hali yako.
Ananilazimisha na sipo kwenye mood. Namweka kiporo siku nikiwa kwenye mood hata kama hajanichokoza nakumbushia hii ya Leo.Ha ha ha ha eti popcorn. Leo ulishasema hutaki kuchamba mtu wamekuchokoza wenyewe
Usiku mwema mpnzdark angel wangu,achana nae huyo buana. Spoiler huyo
Sure ukitegemea humu JF mtu akutaje wakati huyo uyo ana washikaji zake. Watatu au wanne[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] humuhumu izo nindoto ambazo wahenga tunaita ndoto za abunuasi .[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yah ni kweli kabisa
Same to you dear,jemedali wanguUsiku mwema mpnz
😀😀😀😀😀😀😀😀 na kweli mimi uwa nashindwa kumention maana wapo wengiSure ukitegemea humu JF mtu akutaje wakati huyo uyo ana washikaji zake. Watatu au wanne[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] humuhumu izo nindoto ambazo wahenga tunaita ndoto za abunuasi .[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mie simo.
Hahahahahehehr!thnks TOLA
Wakikuchukua nitachanganyikiwa!!!hehehr!thnks TOLA
Umeshinda mzee babaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]