Yani Gudume anajaribu kujificha kwenye shamba la karanga!!i agree [emoji23] [emoji23]
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Ka gunia ngapi hviMpwa, hii ni special kwa vijana wanaotafuta kupendana. Sisi tulikokwisha meza chumvi ya kutosha haituhusu kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Raimundo...ha ha ha
hahahahahaha halafu analazimisha awe sukari ya warembo... lol...Yani Gudume anajaribu kujificha kwenye shamba la karanga!!
Hizo ids 2 zinafanana kuanzia philosophy ya Gudume hadi symbolism yake!!
Kosa la kiintelligencia comments zao zimefuatana in range of 3 to 2 minutes
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] muonee huruma basi umstiri cutegirl!hahahahahaha halafu analazimisha awe sukari ya warembo... lol...
hicho cheo kikubwa hakiji kama unachoma mahindi vile [emoji23] [emoji23]
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
MmhSakayo mpenzi wewe ndiye chaguo langu. Tafadhali usiitupe nafsi hii mahala pabaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji40] [emoji40]Aiseeee
[emoji120] [emoji120] AzarelSurely, wapo wengine sijawataja ila wanamatch hapo...kama
Madam S
Patience
Shunie
Valentina
[emoji23][emoji23][emoji23]Heaven Sent
espy
Shunie
nsamaka
babe S
Numbisa...
Kumbe wameambiwa wanaume...samahan mtoa mada
Ahahh
Kuna mchezaji anaitwa Mamodou SakhoSamahani kaka
Eti kuna timu iko na jina ka user name yangu???
Ila kuna watu wanapendwa sana humu ndio mana wanatajwa.Mmh. Patachimbika mwaka huu sio kwa nyuzi za kutajana tajana kila kukicha.
You are always welcome mpwa wangu.....
Mkuu hao wanaolalamika sioni sababu ya wao kulalama maana wahusika wamekataa hata kuwaadd!!!
Cha msingi wamuone mshana Jr au mtimkavu wasafishe nyota!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa. Nakusubiri umtaje.Ila kuna watu wanapendwa sana humu ndio mana wanatajwa.
Lakini kuna atajwaye kwa namna tofauti ambayo inapendeza badala ya kukera, kimsingi anafaa kutajwa kwa kuwa anashawishi watu kumtaji.
Ila si kwa ubaya bali anasifa ya kutajwa.
Hata wewe unahaki ya kumtaja, japo unaweza usiamue, hata Mimi natamtaja japo sipendi akajivuna angawa hana tabia hiyo!!!!!!!.