Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Umenikosea sana kuniita hilo jina. Mimi napenda tuheshimiane tu vizur maana hatuonani. Kwa mimi nliyezaliwa 70s bado sidhan hata ungekuwa umezaliwa miaka ya 60 ungeniita hilo jina. Sidhan kama ni jina zuri.
Bwana mdogo....usiwe na wasi wasi....na sisi wazee.....pumzi zetu ndogo tunaogopa kufia kifuani.....
 
Hahahaha GuDume mkuu
 
Umenikosea sana kuniita hilo jina. Mimi napenda tuheshimiane tu vizur maana hatuonani. Kwa mimi nliyezaliwa 70s bado sidhan hata ungekuwa umezaliwa miaka ya 60 ungeniita hilo jina. Sidhan kama ni jina zuri.

Nakutaka radhi ndugu yangu......

Nakiri kuwa ulimi umeteleza......

Japo hatuonani lakini mshikamano wetu hapa ni wa zaidi ya udugu.....hivyo basi si vyema kukwazana.....

NISAMEHE NDUGU YANGU.....

Uwe na wakati mwema ndugu yangu....
 
Hahahah shemela wangu wa ukwee

Lazima upambane na hali yangu

Ndo maana blaza akikuacha nakuoa mimi mwenyewe
AHAHAHAHHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHA !nakuachaje sasa!
unataka nikaolewe kwingine ili nipate shida Dec!
Aku!
mamsera na mangulwa si hapo na hapo!
sitaki shida mimi!
 
AHAHAHAHHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHA !nakuachaje sasa!
unataka nikaolewe kwingine ili nipate shida Dec!
Aku!
mamsera na mangulwa si hapo na hapo!
sitaki shida mimi!
Mpk sasa sijaona umemtaja anaufubata moyo wako hapa JF. Sitaenda kukusemelea kwa kaka...
 
Mpk sasa sijaona umemtaja anaufubata moyo wako hapa JF. Sitaenda kukusemelea kwa kaka...
ehehehehehen
akhu!
nishamkopia hili lisredi lote!
af nimemmenction kwa chini!
SITAKAGI KESI MIMI!
 
Kuna kichwa kimoja haujakitaja hapo,yaani huyo ni noma EMT
Thanks for "espying" my writings. You're smarter to have observed that.
... Kuna comment moja alishushaga nikajikuta namfuatilia tu.
Be careful though b'se mwanamke wa mwisho kunifuatilia aliishia kupata a restraining order. 🙂
 
moyo wangu, moyo wangu..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…