Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Soma kwa utulivu sana utarlewa kitu zaidi ya ulicho elewa mwanzo.Sawa. Nakusubiri umtaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma kwa utulivu sana utarlewa kitu zaidi ya ulicho elewa mwanzo.Sawa. Nakusubiri umtaje.
Bwana mdogo....usiwe na wasi wasi....na sisi wazee.....pumzi zetu ndogo tunaogopa kufia kifuani.....Unamkaribisha wapi sasa? Tutatafutana ubaya... Weekend ukaiona chungu. Mbitiyaza njoo home haraka.
Sijamuona popote nimeona muandiko wake tuu tuu uku jfMlionana au ulitumia vigezo gani? Hemu tupe Maujuzi, MAANA NINAVYOJUA PESA PENYE PESA KILA MTU NI HANDSOME
Bwana mdogo....usiwe na wasi wasi....na sisi wazee.....pumzi zetu ndogo tunaogopa kufia kifuani.....
Hahahaha GuDume mkuuMleta mada ana IDs mbili katika hayo majina. Anapima upepo halafu anakuja kujisupport yeye mwenyewe. Angekuwa serious asingeweza kumwacha mwanaume ambaye anagombewa humu JF gudume. Mwenye sound na story za kitaa,jibaba, pesa ipo na mikuno safi kabisa. Badala yake anajiweka yeye na kuji support.
Mimi sina maneno ni muendelezo ule ule wa chuki za shetani kwangu. Sisi wengine ni kama tuna damu ya kunguni. Wadau 8/8 naomba niwaalike kwangu nitachinja mbuzi nichome. So wale ambao wana nafasi tuwasiliane private nione tunafanyaje.
AiseeUwa add wapi? Kwenye thread ya mwenzio? Hujaona imeunganishwa?
Umenikosea sana kuniita hilo jina. Mimi napenda tuheshimiane tu vizur maana hatuonani. Kwa mimi nliyezaliwa 70s bado sidhan hata ungekuwa umezaliwa miaka ya 60 ungeniita hilo jina. Sidhan kama ni jina zuri.
AHAHAHAHHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHA !nakuachaje sasa!Hahahah shemela wangu wa ukwee
Lazima upambane na hali yangu
Ndo maana blaza akikuacha nakuoa mimi mwenyewe
Mpk sasa sijaona umemtaja anaufubata moyo wako hapa JF. Sitaenda kukusemelea kwa kaka...AHAHAHAHHAHAHHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHA !nakuachaje sasa!
unataka nikaolewe kwingine ili nipate shida Dec!
Aku!
mamsera na mangulwa si hapo na hapo!
sitaki shida mimi!
ehehehehehenMpk sasa sijaona umemtaja anaufubata moyo wako hapa JF. Sitaenda kukusemelea kwa kaka...
Asanteeee.Preta na Super women 2 ,hawa ndio wananivutia humu
Thanks for "espying" my writings. You're smarter to have observed that.Kuna kichwa kimoja haujakitaja hapo,yaani huyo ni noma EMT
Be careful though b'se mwanamke wa mwisho kunifuatilia aliishia kupata a restraining order. 🙂... Kuna comment moja alishushaga nikajikuta namfuatilia tu.
Thanks for "espying" my writings. You're smarter to have observed that.
Be careful though b'se mwanamke wa mwisho kunifuatilia aliishia kupata a restraining order. 🙂
...KARIBUAsanteeee.
moyo wangu, moyo wangu..........