Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Nani anakuvutia zaidi hapa JamiiForums?

Sukari ya wakaka
20481858_157975601432302_8870846021756780544_n.jpg
 
Weekend hiyoooooo


Wacha wee. [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hahahahahahahahahahhahahahh nimecheka !eti ana kudisqualify!hahahah promo @ work! jaman hata mm mwanaume

mzuri walaaa!mwanaume awe mchachu mchachu aaaaaaaahhhhhhhh! ila sio type za wa.si,ra,!hapana type fulan hv sijui kama nani vile dah....!wanaume wazuri 99%huwa wanaringa hawajui kupenda anajua anaytime nang'oa chombo!
Uamini mm ni handsamu kama George crown!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo user name yake hiyoo anti.... Mbona mgeni kwangu
Yes hiyo ndio user name yake, Lazima awe mgeni kwako, MMU huwa anatokea kwa nadra sana, na ikitokea comment yake lazima ifunike zoooote[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Inaonekana ni humble,mwenye busara na ana akili sana aiseee. Kuna comment moja alishushaga nikajikuta namfuatilia tu.
 
Back
Top Bottom