Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
We Haya tuuUsinisemee banaa. Namuadmire tuuu. Si zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Haya tuuUsinisemee banaa. Namuadmire tuuu. Si zaidi
hupendi hanisamu boi ww?Nini mbaya teenaa
Bora niwe na lesbian kuliko mwanaume mwenye dushe hlf mrembo.
Maana yake ni tusi..nitakuambia siku nyingineNilivo ona yule mnyakusa ana manyota kibao na kupigiwa masaluti, afu anaitwa general nami nikalichukua hvyohvyo,
Sent From Ikulu-Magogoni street
Aiseeee...Yes hiyo ndio user name yake, Lazima awe mgeni kwako, MMU huwa anatokea kwa nadra sana, na ikitokea comment yake lazima ifunike zoooote[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Inaonekana ni humble,mwenye busara na ana akili sana aiseee. Kuna comment moja alishushaga nikajikuta namfuatilia tu.
Aiseeee...
Sijawahi muona na venye nazururaga jf yooote
Akuuhupendi hanisamu boi ww?
Sent From Ikulu-Magogoni street
wewe, mtu mwenye manyota na kupigiwa saluti hawezi tukanwaaMaana yake ni tusi..nitakuambia siku nyingine
Sawa nitairudisha.
Missing you more than how you miss...
Tomorrow we will bounce together...
kwan huwa wanapaka poudaaAkuu
Nani anataka mtu wa kunimalizia poudaa
Sakayo kwetu huwa wanajua mm msichanaUmeonaee... Mwanaume sura ya baba, wenye sura za mama zao tabu tuuu
Wanaume tunapungua kwa kasi sanaHahahaha umetisherrrr!siku 1 Irene uwoya nae alisema anapenda wanaume wenye sura mbaya nilimuunga mkono rafiki angu hakunielewa kbs! mm napenda men wee awe ana ugwadu uson mchachu ah raha sana! ila wanapotea kwa kasi kubwa kweli kila wknd unawakuta saloon mara facial,mara scrub arghhhhhhh hisia zinakata!
PoleSakayo kwetu huwa wanajua mm msichana
Na dada zangu wavulana nikisimama nao
Mama kaniharibu sana si kwa shepu Na sura hii!
Na mpango Wa kufanya blastic surgery!
Sent using Jamii Forums mobile app