Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Cc..... NisemeeeKugawana na mwenzangu its okay. Huyu mleta uzi hapana aisee...mwache mwanaume apambane na hali yake. Umekata panga tena! 35!!?? Acha bana mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc..... NisemeeeKugawana na mwenzangu its okay. Huyu mleta uzi hapana aisee...mwache mwanaume apambane na hali yake. Umekata panga tena! 35!!?? Acha bana mkuu!
Naona umetoa ya moyoni..tang
samahani mdogo wangu! kwann mnapenda kujiexpose namna hyo hapa barazani!kwann msiend pm kukumbushiana
mautaam yenu pm! hv ni USHAMBA AU UTOTO AU ULIMBUKENI! mtakuwa lini jaman! hv kila mtu aanze kuelezea
alivyokunwa humu mara ukumbukie unavyosuguliwa uyaanike hapa hv huon kama kuna wanawake wengn wanaweza
kukuibia! sasa ww shoga yangu ukiolewa si ndo utahadithia staff nzima unavyosuguliwa jaman! binafsi mie kama MBITI
sipend wala sikuonei wivu kbs my dear najitahd kukuweka sawa siku usipoishi nae huyu nahakika utakuja na ID
nyingine!kama umenielewa nashukuru kama hujanielewa ruksa kuninyali
Sijui niagize popcorn...tang
samahani mdogo wangu! kwann mnapenda kujiexpose namna hyo hapa barazani!kwann msiend pm kukumbushiana
mautaam yenu pm! hv ni USHAMBA AU UTOTO AU ULIMBUKENI! mtakuwa lini jaman! hv kila mtu aanze kuelezea
alivyokunwa humu mara ukumbukie unavyosuguliwa uyaanike hapa hv huon kama kuna wanawake wengn wanaweza
kukuibia! sasa ww shoga yangu ukiolewa si ndo utahadithia staff nzima unavyosuguliwa jaman! binafsi mie kama MBITI
sipend wala sikuonei wivu kbs my dear najitahd kukuweka sawa siku usipoishi nae huyu nahakika utakuja na ID
nyingine!kama umenielewa nashukuru kama hujanielewa ruksa kuninyali
Mapenzi mubashara...Sijui niagize popcorn...
Sijui niagize popcorn...
Mzigua90 atakuwa kasinzia bhanaa...mama lao nimeamua kuwaeleza ukweli!hawa hawajui maana halisi ya mapenzi! hawana hisia wanafake !watuache wenye hisia zetu! raha ya kutxt ujinga ujinga mkiwa wawili....huko mtakumbushiana meeeeng weeeee !...lol!agiza mamy wapi Mzigua90
HahahaMapenzi mubashara...
Mzigua90 atakuwa kasinzia bhanaa...
Mie siongezi neno, nisijepimwa kojo bureee
Ha ha haaaaa ngoja mi ninyamaze..hahahaha hebu imagine unandika maneno kama haya humu!alafu kuna vitoto kumbe humu had vya 17yrs vinaingia!walah mwanangu hatakuja shika simu!mmxieeeeeeeeeeeeeeeeeeewwwwwwww
Kunguru muogaa... Waacha nile popcorn tuuwe muoga jivute kwa mbali kias!
!lol
ShogaaHa ha haaaaa ngoja mi ninyamaze..
Kunguru muogaa... Waacha nile popcorn tuu
Naona ushaazimisha siku ya bia mamynyamaza mamy
Hahahahahaah mamake mdogo ndo nimemwambia! hawa nakuambia wanafake!hawajui maana halisi ya feelings nakuambia! unamfeel mpenzi wako unamropokea kwa watu si wehu huo! au kwa lugha nyingine MWIZI TU
No..nimepewa zawadi, sipo peke yangu. Ilikuwa laki lkn muosha rungu kaingilia kati. My Lee is there to stay. Ontario namuadmire tu jinsi alivyo..hakuna zaidi.Hivi kweeeli unamtosa pedeshee L... Sababu ya elfu 35?????