Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,008
Itabidi nifungue thread yangu😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itabidi nifungue thread yangu😉
sijanywa muda kweli kweli mamy nipo kwangu najinywea maji tu hapa![HASHTAG]#shilawadu[/HASHTAG] tym... huku namsubiria mume huenda akawahi kurudi mweeeeee!(tunaambiwa tusilale kabla waume zetu hawajarud ndani,tuwafungulie milango,kuwavua viatu,kuwapakulia chakula) cc Heaven Sent ,espy ,Heloo ,Nalendwa
HallelujahMiaka3 iliyopita nilikuwa mhanga wa kuchelewa kurudi nyumbani kwa ajili ya vijiwe vya ulabu..nikawa namtesa kweli mtoto wa watu..ila yale maombi sitakuja yasahau mana ilikuwa ikifika saa10 usiku hakuna kulala tena japokuwa huombi ila utalalaje sasa mwenzio yupo anakemea ulevi...aisee shetani wa alishindwa mwishowe sasa pombe sijagusa mwaka wa 3 sasa...ila mpira nilimwambia atanisamehe huo siwezi angalia nyumbani..so nikutie moyo kwamba yote yawezekana katika Jina la Yesu
Nilidhani naliona hilo peke yangu, yaani inabidi tu uishie kulike maana like serious unajibu nini sasa!!!Haha usinikumbushe last time ameniquote, nikasema huyu ntamjibu akili zikinijia vizuri, otherwise I'll end up embarrassing myself, ndo nakumbuka hapa kuwa sikumjibu hadi leo[emoji85] . That dude is smart khaaa
Hahahaaaaa!! Usinikumbushe jamani, we msubiri bwana umvue soksi.sijanywa muda kweli kweli mamy nipo kwangu najinywea maji tu hapa![HASHTAG]#shilawadu[/HASHTAG] tym... huku namsubiria mume huenda akawahi kurudi mweeeeee!(tunaambiwa tusilale kabla waume zetu hawajarud ndani,tuwafungulie milango,kuwavua viatu,kuwapakulia chakula) cc Heaven Sent ,espy ,Heloo ,Nalendwa
Oooh nikikutaga quote yake nashtukajeee haha, [emoji125] [emoji125] [emoji125]Nilidhani naliona hilo peke yangu, yaani inabidi tu uishie kulike maana like serious unajibu nini sasa!!!
Cc Nalendwa
KanisaniLakinii hawa binadamu wa upande wa pili wako na roho za ajabu mnoo, hivi hawa wenzetu huwa wanawatoa wapiii wale wanaorudi saa kumi na mbili???!!!
Na ukikutana na comment yake unaisoma ukiwa na akili zako zote timamu. Daaaah acha tu!!!Oooh nikikutaga quote yake nashtukajeee haha, [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Povu !In baadhi ya wanawake wa Jf na siyo wote, rekebisha uzi wako ninaempenda wala hapo hayupo
K me&u forever.......
....nakupendaaaaaa mnooo
Ngoja nije kule kwanza
Kweli leo ujinga tunaweka pembeni tunafanya yetuNgoja nije kule kwanza
Mmmmh
Hapo sasa ndo napozidi kukupenda
[emoji15] [emoji15] makubwa!!!
Si kwa picha hiyo Numbisa! Dah!
Nilidhani naliona hilo peke yangu, yaani inabidi tu uishie kulike maana like serious unajibu nini sasa!!!
Cc Nalendwa