White drone
JF-Expert Member
- Mar 20, 2023
- 201
- 386
Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa za mwaka huu hakuna mgombea atakaepita bila kupigwa badala yake kutakuwa na kura ya NDIO au HAPANA kama itatokea mgombea ni mmoja katika nafasi husika.
Vyama vya siasa vina haki ya kuweka mawakala katika vituo vya kupigia kula ikiwa vimetoa wagombea lakini ikiwa havina wagombea hawawezi kuweka mawakala wao.
Swali langu: Ni nani atakaehakikisha kula za HAPANA zinalindwa wakati wa kuhesabiwa ukizingatia hakuna mawakala wa vyama vingine?
Vyama vya siasa vina haki ya kuweka mawakala katika vituo vya kupigia kula ikiwa vimetoa wagombea lakini ikiwa havina wagombea hawawezi kuweka mawakala wao.
Swali langu: Ni nani atakaehakikisha kula za HAPANA zinalindwa wakati wa kuhesabiwa ukizingatia hakuna mawakala wa vyama vingine?