W White drone JF-Expert Member Joined Mar 20, 2023 Posts 201 Reaction score 386 Nov 24, 2024 Thread starter #21 al Majiid said: hiyo itategemea nani atahesabu hizo kura na nani atatangaza matokeo yake.! Click to expand... Wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya vituo ni watendaji kwahyo wao ndo wana jukumu la kuhesabu na kutangaza matokeo
al Majiid said: hiyo itategemea nani atahesabu hizo kura na nani atatangaza matokeo yake.! Click to expand... Wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya vituo ni watendaji kwahyo wao ndo wana jukumu la kuhesabu na kutangaza matokeo
W White drone JF-Expert Member Joined Mar 20, 2023 Posts 201 Reaction score 386 Nov 24, 2024 Thread starter #22 Townchild said: Yuko sawa ni vituo vya kupigia kula kwa wale wanaoamini ndio wamiliki wa taifa hili. Click to expand... Una hoja mkuu lakini mimi nimemaanisha kura na sio kula
Townchild said: Yuko sawa ni vituo vya kupigia kula kwa wale wanaoamini ndio wamiliki wa taifa hili. Click to expand... Una hoja mkuu lakini mimi nimemaanisha kura na sio kula
W White drone JF-Expert Member Joined Mar 20, 2023 Posts 201 Reaction score 386 Nov 24, 2024 Thread starter #23 Mkulima said: Kila chama kinachoshirki, kitaweka wakala wake kwenye kila kituo. Kumbuka pia kila kijiji kuna wagombea wa halmashauri ya kijiji, ambao watapigiwa kura na kijiji kizima . Hivyo kulinda kura zao kwenye kila kituo ni muhimu. Click to expand... Chama kitaweka wakala katika kijiji au mtaa ambao hawana mgombea?
Mkulima said: Kila chama kinachoshirki, kitaweka wakala wake kwenye kila kituo. Kumbuka pia kila kijiji kuna wagombea wa halmashauri ya kijiji, ambao watapigiwa kura na kijiji kizima . Hivyo kulinda kura zao kwenye kila kituo ni muhimu. Click to expand... Chama kitaweka wakala katika kijiji au mtaa ambao hawana mgombea?
Nyoka kibisa JF-Expert Member Joined Nov 30, 2014 Posts 568 Reaction score 1,507 Nov 24, 2024 #24 Hivi kwanza walimu wanalipwa sh ngapi katika zoezi hili la uchaguzi? Maaana wakilipwa pungufu inaweza kupelekea kurubuniwa
Hivi kwanza walimu wanalipwa sh ngapi katika zoezi hili la uchaguzi? Maaana wakilipwa pungufu inaweza kupelekea kurubuniwa
W White drone JF-Expert Member Joined Mar 20, 2023 Posts 201 Reaction score 386 Nov 24, 2024 Thread starter #25 Nyoka kibisa said: Hivi kwanza walimu wanalipwa sh ngapi katika zoezi hili la uchaguzi? Maaana wakilipwa pungufu inaweza kupelekea kurubuniwa Click to expand... Hao hata walipwe milioni bado haiwatoshi mkuu
Nyoka kibisa said: Hivi kwanza walimu wanalipwa sh ngapi katika zoezi hili la uchaguzi? Maaana wakilipwa pungufu inaweza kupelekea kurubuniwa Click to expand... Hao hata walipwe milioni bado haiwatoshi mkuu